adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,033
- 15,637
Hi,
mashabiki wenzangu wa movie leo tujikumbushe stori ya muvi ya apocalypto iliyoteka hisia za wapenda muvi!
Hii ilitoka mwaka 2006 muongozaji ni mel gibson pia ni writter wa hii muvi kali ya thriller adventure!
Inavyoanza!
Jamii ya kiwindaji katika msitu wa amazon ilikuwa katika shughuli za uwimdaji kama ilivyo ada yao kila uchao ila siku hiyo ilikuwa tofauti na siku zote baada kukutana na jamii ya nyingine ya wawindaji wakiwa wamejaa hofu na kukimbia makazi yao baada ya kuvamiwa na maadui za kina zero wolf na flint sky
Baba wa kiongozi wa kabila anamuonya mwanae jaguar paw kwamba siku zote apigane na hofu au woga ila kijana jaguar paw mlango wako wa 7 wa fahamu uko makini hivyo akaelewa **** jambo baya linakaribia katika mji wao
Ni kweli alichokiota jaguar paw kinatokea kweli wavamizi wanaingia katika mji wao na kuchoma moto nyumba zote na kuua baadhi kisha kuchukua mateka wengine kwa ajili ya kwenda kutoa makafara maana mji wao ulipata laana ya maradhi na ukame hvyo kutoa katoa kafara ya damu na moyo mungu angeondoa balaa hilo.
Hapo ndo utamu wa hii muvi ulivyoanza baada mwezi kupatwa wakaamini mungu amekubali kafara hivyo mateka waliobaki wakauliwe kwa njia ya michezo huko ndo utamu ulipoanza jinsi jaguar paw alivyowatoa kamasi
mashabiki wenzangu wa movie leo tujikumbushe stori ya muvi ya apocalypto iliyoteka hisia za wapenda muvi!
Hii ilitoka mwaka 2006 muongozaji ni mel gibson pia ni writter wa hii muvi kali ya thriller adventure!
Inavyoanza!
Jamii ya kiwindaji katika msitu wa amazon ilikuwa katika shughuli za uwimdaji kama ilivyo ada yao kila uchao ila siku hiyo ilikuwa tofauti na siku zote baada kukutana na jamii ya nyingine ya wawindaji wakiwa wamejaa hofu na kukimbia makazi yao baada ya kuvamiwa na maadui za kina zero wolf na flint sky


Baba wa kiongozi wa kabila anamuonya mwanae jaguar paw kwamba siku zote apigane na hofu au woga ila kijana jaguar paw mlango wako wa 7 wa fahamu uko makini hivyo akaelewa **** jambo baya linakaribia katika mji wao

Ni kweli alichokiota jaguar paw kinatokea kweli wavamizi wanaingia katika mji wao na kuchoma moto nyumba zote na kuua baadhi kisha kuchukua mateka wengine kwa ajili ya kwenda kutoa makafara maana mji wao ulipata laana ya maradhi na ukame hvyo kutoa katoa kafara ya damu na moyo mungu angeondoa balaa hilo.
Hapo ndo utamu wa hii muvi ulivyoanza baada mwezi kupatwa wakaamini mungu amekubali kafara hivyo mateka waliobaki wakauliwe kwa njia ya michezo huko ndo utamu ulipoanza jinsi jaguar paw alivyowatoa kamasi