Igizo la DHAMIRA linalorushwa ITV

Igizo la DHAMIRA linalorushwa ITV

Valsava

Senior Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
171
Reaction score
141
Igizo hili limehusisha mandhari ya kijijini na mjini.Ni zuri sana kwani linaelimisha kuhusu uongozi mbaya,kutafuta haki,matumizi mabaya ya fedha,uhuni n.k. usikose kuangalia ni kila jumamosi saa 3:00 usiku.Je wewe unalifuatilia?,unalionaje?
 
Back
Top Bottom