Igizo la DHAMIRA linalorushwa ITV

Valsava

Senior Member
Aug 16, 2015
159
115
Igizo hili limehusisha mandhari ya kijijini na mjini.Ni zuri sana kwani linaelimisha kuhusu uongozi mbaya,kutafuta haki,matumizi mabaya ya fedha,uhuni n.k. usikose kuangalia ni kila jumamosi saa 3:00 usiku.Je wewe unalifuatilia?,unalionaje?
 
Back
Top Bottom