NI nyimbo gani ukizisikia unahisi kutokwa machozi??....nimejaribu kutengeneza list ya nyimbo 10 ambazo zinasikitisha zaidi....kama hujakubaliana na list jaribu kuweka ambazo unaona zinasikitisha...
Kazi yako ya Nisaide kushare imesimama sana bro, hongera sana. Umeonesha kwamba wewe ni mkongwe katika hip hop, huyumbi na hugeuki. Kaa hata mwaka mzima lakini ukija kurealese unafanya ile kitu...
Mambo anayotufanyia mtangazaji Wa sibuka FM, in mambo ya ajabu anaacha kutangaza Mpira anatangaza matukio.
Sio lazima kama hamna uzoefu Wa kutangaza Moira sio lazima mpekeke mtangazaji ni bora...
Mimi ninashangazwa sana na sanaa za kibongo,kwani hasa hawa wasanii wanafanyaje?
EDITOR:
Computer inayoedit pentium R ya 2002.
Editor wenyewe ana muongozo wa kutia vinanda badala ya track.
Vipande...
Kwa mara ya Kwanza nimekuwa shabiki wa huyu kijana hii nyimbo aliotoa ukiwezekana ufike mbali
very inspirational song....most of da time we miss the moment not a person....aslay ameweza kuongelea...
Ninachoweza kusema ni kuwa:-mafanikio ya kishetani daima hayana heshima kwa mwanadamu !Kwa mwanamme wa kweli mafanikio ya kweli na ya haki ni yale yanayotokana na mipango na jitihada uku...
Nikisikiliza nyimbo za kupondeana zote naona kama madaraka ya kulevya ni nyimbo ambayo iliandaliwa mda mrefu sana na kwa umakini kuliko zingine.. Nyimbo ya "Wapo" ya ney wa mitego ni nyimbo ambayo...
BRAYAN :you have any son,
RADE : two ,
BRAYAN :you have any son,
BRAYAN:If I kill u,they will come and seek revange.
RADE: they will for u sure,
BRAYAN:And I will kill them too, bt you can change...
Basam tangu mwanzo alijipambanua kama mtu anayetaka demokrasia kwa sababu ya mazingira aliyokulia Marekani kuwa nje na mfumo wa serikali kulimfanya aone kama ni rahisi kuleta demokrasia lakini...
Hakuna kitu kibaya kama kulipiza kisasi,
Manake unaweza ukamfanyia mtu action leo alafu wewe ukaichukulia poa, lakini kumbe yule ulomfanyia akakuwekea kinyongo,
na akaja kukumaliza kivyovyote na...
Habari!
Napenda kujua namna ya kuuza movie script hapa Tanzania na Africa mashariki kwa ujumla. Kama kuna ma agent au namna yeyote ile itakayo wezesha mimi kuuza script.
Na pia napenda kufahamu...
SIONI by Berto - Official Video By Jasons Empire - Bongo Fleva Tanzania
Waigizaji wa Siri za Familia ABDUL, ETHAN na DAYA Wameshiriki kama Video Kings and Queens.
Tunaomba utusaidie KUSHARE...