Kuna siri gani nzito katika hizi movie?

aronstephy

JF-Expert Member
Jun 23, 2015
297
611
Madirector na watunzi wa hizi story katika hizi movie, Constantine (2005), The Devil's Advocate(1997), kuna siri gani nzito walitaka kufikisha katika hadhira husika, au ni ujumbe gani walitaka kuuonesha katika jamii.

Kwa wale wadau walio fanikiwa kuziona hizi movie mbili na nyingine nyingi za mfano huu tafadhari kama unalolote la kuchangia.
 
Madirector na watunzi wa hizi story katika hizi movie , Constantine (2005),The Devil's Advocate(1997), kuna siri gani nzito walitaka kufikisha katika hadhira husika, au ni ujumbe gani walitaka kuuonesha katika jamii.
kwa wale wadau walio fanikiwa kuziona hizi movie mbili na nyingine nyingi za mfano huu tafadhari kama unalolote la kuchangia.
Constantine niliiangalia mara kadhaa. Kwa mtazamo wangu ni kwamba mtunzi amehitimu katika line ya mtunzi wa riwaya ya Ziraili na Zirani bw. E. Mkufya

Wote wanatuaminisha kuwa evil is projection na satan is tasked cast. Kuna series inaitwa Lucifer unaweza kuiangalia ambapo shetani alienda likizo na kuanza kusaidia polisi kukamata wahalifu.

Najua weledi wa tasnia hiyo watakuja kutuelimisha zaidi hapa
 

Attachments

  • The Devil's Advocate - Trailer.mp4
    8.5 MB · Views: 32
  • Constantine (2005) Official Trailer # 1 - Keanu Reeves Movie HD.mp4
    8.8 MB · Views: 32
End-of-Days-Film-end-of-days-23795994-800-600.jpg


Mkuu, unakumbuka na hii ya mzee mzima Arnold ya 1999
tena hii walikua wanaweka wazi kila kitu
 
Back
Top Bottom