Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wadau nipate wapi wimbo wa Komba mgeni na mambo kwa sox wa Remmy Ongara...nmejaribu mtandaoni holaaa Naomba kuwasilisha
2 Reactions
17 Replies
3K Views
1. Steve James Huyu jamaa aliwakilisha vyema kwenye muvi nyingi za mapigano na vita. Mojawapo ni muvi ya American Ninja akiigiza na mastaa wengine kama David Bradley pamoja na Michael Dudikorf...
2 Reactions
48 Replies
17K Views
Naumia app ya sportpesa... Nimeshashinda mara kibao sijuti. Cha kuzingatia Weka game chache za uhakika.
0 Reactions
4 Replies
889 Views
NAHITAJI WIMBO WA SAIDA KAROLI _PESA INAWASHA PAMOJA NA WIMBO WA MBILIA BEL YAMBA NGAI ..
0 Reactions
0 Replies
733 Views
Jaman vp nawez pata au kudownload movie ya jumanji ya therock iliyotoka mwaka 2017
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Siku hizi nashindwa kulala kisa season yaani nakesha usiku kucha naangalia series tuuuuu. sio kama zamani wakati soko la bongo movie lilivyo tamba. hivi tatizo ni nini au na wewe upo hivyo?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Je unadhani ktk Tanzania ya sasa bado kuna wasanii walio kioo cha jamii?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kutoka mwaka 2010 hadi 2012 kulitokea harakati iliyoasisiwa na Mh Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu. Harakati hii ilisadikiwa ilitokana na uhasama binafsi wa sugu vs clouds, dhana ya pili ni kuwa...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Ruby anakuja
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kufaam huyu mtu mwenye ngozi mithili ya minofu raini ya samaki,nazionaga tu picha zao hawa watu wa dizaini hii wapo kweli ama ndo picha za kubuni za hawa wazungu?,ama kuna jambo lililo...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Sina u team kwenye mafanikio ya mtu na wala hayanisaidii. Lakini mtu anapofanya jambi jema na la kupongezwa inabidi apongezwe. Amekuwa msanii ambaye amelata mageuzi makubwa katik tasnia ya sanaa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
1.The jets_make it real 2.Lionel Richie_I call it love 3.roxette_it must have been love 4.roxette_listen to your heart 5.Cindy luper_time after time 6.air supply_making out of love 7.the...
6 Reactions
36 Replies
4K Views
Wakuu msaada wa mwenye kujua wapi naweza kupata nyimbo mpya za taarab na album mpya ya mzee yusuph.
0 Reactions
5 Replies
726 Views
Habarini ndugu zangu, napenda kujua hasa ni kipi cha kufanya au ni taratibu zipi ama njia salama za kupitia kabla ya kufanya video cover ya nyimbo ya msanii yeyote yule hapa Tanzania? Mwenye...
0 Reactions
0 Replies
801 Views
Jaman wana jf anaejua ile movie ya nigeria inayorushwa itv kila jpili usiku kuanzia saa tatu na nusu usiku inaitwaje naombeni anambie. Aniambie na website ya kuipata. Movie yenyewe ipo ivi jamaa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini wana Jf, Majuzi tcra walitangaza kuwa makampuni yote ya ving'amuzi tz yanatakiwa yasizilipishe zile 5 local channels.. Sasa leo decorder yangu imekaza vyuma...,nikajaribu kupekua local...
1 Reactions
5 Replies
688 Views
Nataka mnisaidie jina la huu wimbo na walio uimba
0 Reactions
2 Replies
822 Views
Salama ndugu humu!? Kiukweli naupenda wimbo Wa Hussein Jumbe uitwao "Siri" lakini kijana Rayvan Wa WCB ameufanyia marudio kwa maboresho ya kisasa na nimejikuta nikiupenda zaidi kuliko ule Wa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wanajamvi, Kuna wakati unaangalia movie kuanzia mwanzo lakini huielewi, unajaribu kuendelea kuitazama kwa matumaini kuwa utaielewa lakini hadi inaisha unajikuta hujaielewa, Tupia hapa jina la...
1 Reactions
43 Replies
4K Views
Nisiwachoshe kwa maneno, ila nilikua sifwatilii sana mziki wa bongo baada ya kuona hamna jipya, leo katika pita pita mitandaoni nikakutana na huu wimbo... wa ben pol unaitwa bado kidogo...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Back
Top Bottom