Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nikifungua link ya kudownload series za kikorea ya dramafire inanigomea kabisaaa Kuna app nyingi sana lakin naomba mnisaidie App nzuri kama ipo ambayo itakuwa inanijulisha kuna series mpya au...
1 Reactions
4 Replies
821 Views
Sasa wadau kila nikisema wanawake wengine wavaaga kishetani/kimalaya mnakataaga.kuna wanawake ninao kwenye list yangu ni wanavaaga kihuni sana.mimi niwaonye tu hadharani waache utovu wa maadili na...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Habari mwana jamvi, Katika ulimwengu wa entertainment Usiku wa kuamkia leo kulikuwa na utolewaji wa tuzo za Golden Globe Awards mwaka huu wa 2018. Kwa kweli naomba niongelee jambo kubwa ambalo...
5 Reactions
1 Replies
3K Views
Last month, there are many new faces appeared in our Monthly Top 10 covers chart such as Nana+, Surasree Chakraborty, Felicityy as well as manna_melody. They are all good singers and their...
0 Reactions
0 Replies
502 Views
Nimpenzi wa 360 nasikitika tangu juzi (Jumapili) Mnasuasua Sana.Kibaya zaidi nyie mmekazana kurusha vipindi !! Kama mitambo inasumbua sitisha matangazo maliza tatizo.
0 Reactions
2 Replies
852 Views
Habari zenu wakuu ..??ok leo nilikuwa nataka tuzungumzie hii true story ya hii series movie hiitwayo VIKINGS najua mnajua kama hii ilikuwa ni true story. Ambayo ilitokea kwnye huu ulimwengu wetu...
2 Reactions
37 Replies
7K Views
Habarini wanajamii forums kwa wale ambao wako nje ya Tanzania au nje ya dar es salaam wangependa kusikiliza radio online dunia nzima solution ni bongo radios Bongo Radios – Applications Android...
1 Reactions
0 Replies
566 Views
Jamaa anakipaji sana. Sifa ya wanamuziki wakongwe wa mbele huwa hawaachi loyal fans wao kwa kuanza kushindana na madogo katika industry ya muziki, wanakomaa na vionjo vya asili na kufanya muziki...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Hello floks.naandika Uzi huu nikiwa na hasira sana juu ya kuporomoka kwa maadili hapa Tz.wasanii kama diamond,alikiba,wenye mambo ya kihuni huni kama wema sepetu,gigy,na mavideo vixing wengine ni...
5 Reactions
99 Replies
10K Views
tupieni na zingine wadau
1 Reactions
21 Replies
13K Views
Kwa Yeyote anaejua Game ya mpira ya kucheza kwenye naomba aniambie
0 Reactions
4 Replies
871 Views
Wana JF mie nipo mbari saaaaaaaaaana na vituo vya burudani sehemu nilipo labda mzizimkavu ndio anaweza fika maana yeye hutafuta mizizi ya tiba mbadala. Naomba mwenye link iwe youtube, daliymotion...
0 Reactions
14 Replies
14K Views
jamani kuna nyimbo za wasanii kutoka congo nazipenda sana,,fally ipupa-associe na fere gola-100 kilo sasa nahitaji nipate nyimbo nyingine zenye midundo kama ya hizo hapo (midundo ya kutulia) kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hellow member... Najua mpo wataalamu na wapenzi wa hizi beats za zamani kidogo, je naweza kupata wapi albamu zao za audio niweze kuwa download hata kama ni kwa kulipia kama wanavyofanya...
5 Reactions
28 Replies
4K Views
Wadau nashida na movie sana nimejaribu kuwatafuta hawa jamaa wanaoingiza nyimbo bila mafanikio yani hawapo nowadays nasikia wanasakwa kama watu wa dawa za kulevya wamepotea kabisa kwa sababu...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Wakuu hope mna enjoy weekend vema Kimsingi vijana hawa wanakuja vizuri sana kazi yao nimeipenda Tupia maoni yako kuwashauri
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nichukue fursa hii kumpongeza waziri ummy kwa uzalendo ulotukuka.huyu mama nimempenda bure,viongozi wote wangekua hivi naamin timu nyingi zingefanya vizuri.nichukue nafasi hii nimtake waziri wa...
0 Reactions
1 Replies
639 Views
RIWAYA YA KIPELELEZI: ANGAMIZO MWANDISHI: HALFANI SUDY SIMU 0674 395733 WHATSAPP 0757 633010 SEHEMU YA KUMI NA TANO Hakuwa mvutaji hata wa sigara. Lakini hakuruhusu hata kukohoa. Alijua kukohoa...
2 Reactions
8 Replies
6K Views
Kwangu mimi naanza na bob Marley huwa namuelewa sana Song called "Is This Love" I wanna love you and treat you right I wanna love you every day and every night We'll be together with a roof...
0 Reactions
0 Replies
738 Views
Tangu mwaka uanze sijapata nafasi yakuweza kutulia na kufanya mambo nayopenda pale napopata mda au nafasi hasa siku kama hii. Leo hiyo nafasi nimepata na sasa nipo na chagua nyimbo za kusikiliza...
0 Reactions
0 Replies
648 Views
Back
Top Bottom