Allan Makaba Vs Dally Kimoko

Nanoli

JF-Expert Member
Oct 15, 2015
3,735
5,967
Wale wahenga katika mziki wa Bolingo.... nadhani mtakumbuka enzi zile wazaire walivyoweza kuteka soko la mziki kanda ya nchi za Africa Mashariki,.. Kama vile wanamziki, Koffi, Madilu, Wenge BCBG, Extra, Kanda Bongoma, soukous (group) , awilo na wengine kibao... Lakini pia kulikua na wakali wa guitar,... Sasa leo niwalete kwenu wataalam hawa wawili,.. Allan Makaba Vs Dally Kimoko, ni nani alikua fundi zaidi wa guitar.....
 
Wale wahenga katika mziki wa Bolingo.... nadhani mtakumbuka enzi zile wazaire walivyoweza kuteka soko la mziki kanda ya nchi za Africa Mashariki,.. Kama vile wanamziki, Koffi, Madilu, Wenge BCBG, Extra, Kanda Bongoma, soukous (group) , awilo na wengine kibao... Lakini pia kulikua na wakali wa guitar,... Sasa leo niwalete kwenu wataalam hawa wawili,.. Allan Makaba Vs Dally Kimoko, ni nani alikua fundi zaidi wa guitar.....
Dally Kimoko alikuwa zaidi banaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom