Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Habari waungwana, nawasalimu nyote Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mm nimelitazama hili kama swali la kufunga mwaka kwa upande wa burudani na nikaamua kuli_solve kama kipindi kile cha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hali zenu ndugu zetu.? Ni lini show za kibongo wataacha kuvamia mastage hawa watu wanofata? 1. Mabaunsa 2.Camera men 3.Wapambe Nikicheck show za mbele stage inakua free na msanii anakua huru kuperform
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Wakati Tigo Fiesta wakifuta tamasha la mwaka huu huko Dar baada ya kuzuiwa kutumia uwanja wa Leaders Club huko Mtwara tamasha la Wasafi limehudhuriwa na viongozi wa serikali akiwemo naibu Waziri...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Msaada wadau....... kuna nyimbo ya kisukuma huchezwa sana kwenye maharusi huku watu wakitikisa mabega huku wakishuka chini........ Moja maneno ninayo ya kumbuka ni pamoja na "..........funyagi...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Kama mnavyofahamu, Leo ndio ile siku ambayo ikisubiriwa kwa hamu na Wanamtwara kama sio Tanzania kwa ujumla.. So wale wanyama wote wenye majina makubwamakubwa hapa bongo tayari washadrop Mtwara...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Habarini za mchana! (mods naomba thread hii isiunganishwe tafadhari) Kwanza kabisa napenda kudeclear kuwa mimi ni mpenzi wa burudani na sio Fiesta au wasafi festival, hizi zote mimi nilikuwa...
9 Reactions
26 Replies
4K Views
Wala siwaonei huruma bali nasema mmestahili kutokewa na kilichowatokeeni leo na pengine hili sasa linaweza kuwafanyeni mjitafakari upya na muache kuwa na Kiherehere na Kujipendekeza wakati ukweli...
7 Reactions
19 Replies
2K Views
Wadau, Nimefikiria biashara flani hivi kwamba iwe kama FUNCTION flani lakini ilete mafao, nimefikiria kuiita NYAMA CHOMA FESTIVAL ambayo nafikiria iweze kufanyika eneo lililo wazi hivi, pawepo na...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
(verse 1:) Chakwake chakwako,chakwako cha kwake Pamoja wakati wote kama kidole na pete Sio lazima awe ndugu hata mtu wa mbali Ukiumia anaskia uchungu anajali kwa kila hali...
4 Reactions
10 Replies
12K Views
Christopher George Latore Wallace (anajulikana kama Biggie Smalls, jina la jambazi la kwenye filamu ya mwaka wa 1975 ya Let's Do It Again, "The Black Frank White", jina la mwuza madawa ya kulevya...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Jua ni moto Tena ni mwangaza ya dunia Jua, maji, mwezi, nyota, upepo na udongo Ni uzima wa binadamu Nadina yooo Nadina yoyo Nadina yooo Nadina yoyo Tuombe mungu baba yoyo Atuhurumie...
7 Reactions
4 Replies
6K Views
Wanajukwaa leo ndio sikukuu ya Wapenda burudani wote ambapo wasanii mbalimbali wakiwemo manguli kadhaa kutoka Africa.. Kuna Jose Chameleon kutoka Uganda,Teknomiles na Yemi Alade kutoka...
3 Reactions
1K Replies
106K Views
Fiesta fursa kuanzia sokoni leo inafikia tamati katika viwanja vya CCM mjini Mtwara baada ya matamasha hayo kufanyika katika mikoa yote ya Tanzania bara kasoro Dsm. Msemaji wa wadhamini wenza wa...
1 Reactions
40 Replies
6K Views
Yawezekana Clouds Media Group yashinda hii vita baada ya taarifa kuwepo kuwa Tigo Fiesta Dar es salaam inaenda mpaka Asubuhi licha ya RC wa DSM kusema kuwa iishe saa 7 usiku ambayo iko ndani ya...
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Kwanza naomba mods msiuunganishe huu uzi na uzi mwingine wowote. Maana kwa kufanya hivyo, ntashindwa kuzipata hizi nyimbo. Kuna kwaya fulani inaitwa Nioth Prophetical Singers, hawa wana Albam...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Waandaaji wa tamasha la kila mwaka la Fiesta, Clouds Media Group wamelazimika kuwarudisha wasanii wote waliotolewa kwenye 'list' ya watakaotumbuiza baada ya muda kuonekana kuwa kikwazo...
0 Reactions
127 Replies
14K Views
Wadau mnaojua haka kamchezo kanaendaje mtueleze baada hivi karibuni kumekuwepo kwa lawama nyingi sana kwa radio moja eti inanyonya ilikuwa inanyonya ni kweli kwamba kwingine kupo sawa au ni...
1 Reactions
1 Replies
739 Views
Yaani ushindi na mwadui mnatusumbua sana[emoji848][emoji848][emoji848]
0 Reactions
2 Replies
839 Views
Back
Top Bottom