kitokololoo
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 704
- 821
Nifurahi iliyoje kuona timu kila mchezo inapata matokeo niwapongeze wachezaji kwa uzalendo wao katika club yetu ya yanga tunapita kipindi kigumu ndani ya timu yetu hasa kiuchumi lakini wachezaji wanajituma kwa moyo wote hongereni sana mnafanya hivi kwa ajiri yetu sisi wapenzi wa timu hii
Pia iwe funzo kwa wachezaji wengine unapokuwa mchezaji lazima uwe mvumilivu sana yanayowakuta yondani na kakolonya ni matokeo yao ya kukosa uzalendo leo hii wachezaji wenzao wanavumilia kitu ambacho wanajihakikishia namba ndani ya uwanja
Mwinyi zahera: Kakolonya ni mchezaji yeye ndiyo anapaswa anipigie simu na awapigie simu viongozi tujue yupo wapi na siyo mimi kocha nimtafute yeye.
Kakolonya yeye ndiyo anatakiwa aje mazoezini na siyo mimi zahera nimtafute aje mazoezini
Hongera zahera kwa misimamo yako na kuwa wazi kwa wachezaji na mashabiki Mwenyezi Mungu ibariki DAR YANGA AFRICAN
Pia iwe funzo kwa wachezaji wengine unapokuwa mchezaji lazima uwe mvumilivu sana yanayowakuta yondani na kakolonya ni matokeo yao ya kukosa uzalendo leo hii wachezaji wenzao wanavumilia kitu ambacho wanajihakikishia namba ndani ya uwanja
Mwinyi zahera: Kakolonya ni mchezaji yeye ndiyo anapaswa anipigie simu na awapigie simu viongozi tujue yupo wapi na siyo mimi kocha nimtafute yeye.
Kakolonya yeye ndiyo anatakiwa aje mazoezini na siyo mimi zahera nimtafute aje mazoezini
Hongera zahera kwa misimamo yako na kuwa wazi kwa wachezaji na mashabiki Mwenyezi Mungu ibariki DAR YANGA AFRICAN