ni wimbo wa injili au kwasababu nimeandika kibaoAnaimba taarabu siku hizi?
sasa huo wimbo aliutungaje na wale mapepo kumi mwilini au na kwenye injili washaweka kiki
kama ni kiki kweli basi niyashauri mapepo yakamwingie kweliIlikuwa kiki ya kutokea,mwenye mapepo analinda mkono usiumizwe?
Lakini unatakiwa kufahamu HAIMBIWI MUNGU tunaimbiwa sisi.Kamwe neno la Mungu halijawahi kuwa na masimango wala viini vya masimango, mafumbo, vijembe na mambo mengine yanayofanana na hayo. Rose ni mzuri wa kutengeneza tune za nyimbo lakini kwenye content ni taarabu tupu.
Lakini unatakiwa kufahamu HAIMBIWI MUNGU tunaimbiwa sisi.
Kumbuka ule wimbo wake wa Haya we haya weeee. Anavyosimanga.Kamwe neno la Mungu halijawahi kuwa na masimango wala viini vya masimango, mafumbo, vijembe na mambo mengine yanayofanana na hayo. Rose ni mzuri wa kutengeneza tune za nyimbo lakini kwenye content ni taarabu tupu.
Watu wanakosea kusema Rose Muhando anaimba nyimbo za mungu. Design hii huimba ku entartain kama waimbaji wengine tu. Ukiguswa na message, wao husema jiwe gizani.Kwa mfumo wa masimango ni sawa na makwazo, kama Biblia ingeandikwa kwa utaratibu wa uimbaji wake basi ingepata wasomaji wachache
Mungu anasema tupendane, siyo tusemane na kukwazana
Watu wanakosea kusema Rose Muhando anaimba nyimbo za mungu. Design hii huimba ku entartain kama waimbaji wengine tu. Ukiguswa na message, wao husema jiwe gizani.
Kumbuka ule wimbo wake wa Haya we haya weeee. Anavyosimanga.