Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Ni jambo la kusikitisha kwa huyu binti kukatishwa uhai na mumewe kumkata na shoka kichwani siku ya tarehe 25, kwa kile kilichodaiwa muwe alichukia kuandaliwa chai siku ya sherehe ya kuadhimisha...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
August Alsina sijajua saivi yupo wapi huyu jamaa Anajua RnB si mchezo. Nliwahi kumskia kwenye Ngoma nyiki kalii mno Na Sauti yake ni yakipee. Labda azidiwe kidogo na The Weeknd yule Mkanada...
15 Reactions
173 Replies
16K Views
Mi natumia mp3juice.cc. Ina files kubwa sana. Je, unatumia website gani kudownload music? Hasa audio. Let's share.
1 Reactions
41 Replies
11K Views
Nasikia kwamba Harmonize ana mpango wa kuanzisha radio station yake ya kundi la Konde gang, je kuna ukweli wowote katika hilo?
5 Reactions
50 Replies
11K Views
Wakati ikikaribia mwisho wa mwaka 2019, hapa Tanzania Tech huwa na taratibu ya kurudi nyuma na kuangalia yote tulio yapitia kwa mwaka mzima. Kwa siku ya leo tunaenda kuangalia channel 10 bora za...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
BSS top 3. Yako weka hapa... 1. Patric Aulsen 2. Leonard 3. Patricia Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
26 Replies
3K Views
BILL GATES – EST. £121.5 MILLION, WASHINGTON PIERCE BROSNAN – EST. £15.4 MILLION, MALIBU ELTON JOHN – EST. £27.2 MILLION, BEVERLY HILLS
3 Reactions
26 Replies
4K Views
RIWAYA: Mwanafunzi Mchawi ( A Wizard Student ) MTUNZI: ENEA FAIDY SEHEMU YA KWANZA Ilikuwa ni majira ya saa moja jioni ambapo mkuu wa while ya Mabango alikuwa ofisini kwake akiwa amechanganyikiwa...
9 Reactions
458 Replies
189K Views
MKASA WA KWELI KAONDOKA NA MOYO WANGU MWANDISHI; ZUBERI MARUMA WHATSUPP 0759427653 Sehemu ya kwanza UTANGULIZI Ni mwanamke nilompenda toka ndani ya mvungu wa moyo wangu, Nikayabeba matatizo...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Na HumphreyMoris (AnonymousAfrica) Msanii maarufu kwenye mtindo wa Pop kutoka nchini uingereza Edward Christopher Sheeran almaarufu kama Ed Sheeran ametoa video mpya inayozungumzia watu...
8 Reactions
28 Replies
4K Views
Naona kuna dalili ya Ali kiba kubadilika.Kwa sasa kaamua kuachia ngoma back to back,iwe ni ngoma zake au za kushirikishwa kitu ambacho hapo kabla kilikuwa kigumu. Safari hii kaachia wimbo...
4 Reactions
35 Replies
4K Views
Takribani mwezi au wiki mbili tatu mfululizo, Clouds Fm wamekuwa wakiendesha mjadala redioni unaoangazia mambo kadha wa kadha ya game ya muziki wa Bongo Fleva, tangu kuasisiwa kwake. Mijadala...
3 Reactions
5 Replies
4K Views
Nimefuatilia mchuano huu na nimebaini kwamba baadhi ya majaji wanakatisha tamaa vipaji vipya kwa kutoa lugha za kejeri.Mfano wa lugha hizo ni kama vile 1. We huwezi kabisa 2.We unapiga kelele...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu, uwezo wa Mbwana Samatta na Mpira anoucheza akiwa katika Club yake ya Genk, ni Tofauti na anavyocheza akiwa Taifa Starz (Hajitumi, anacheza ili mradi mpira uishe) Hili litatugharimu sana...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Kilichowakuta wasanii wa Bongo movie ni fundisho kubwa kwa wenzao wote wanaopenda hiyo sanaa ili kufanikiwa kimaisha. Wasanii wa Bongo movie walisahau kuwa watanzania wapo matabaka tofauti. Wapo...
7 Reactions
14 Replies
2K Views
Hili halina ubishi huyu jamaa anatalanta ya kipekee sana Licha ya kuwa hana uwezo Wa kuona tangu kuzaliwa kwake (KIPOFU) Lakini anauwezo MKUBWA Wa kupiga vyombo vingi vya mziki Sauti yake ni...
5 Reactions
19 Replies
4K Views
Wakuu habarini, Kama siamini macho yangu: Hivi ni kweli ninayo yaona? Naona kama Clouds mvuto wote kwisha, na hata tamasha lao la Fiesta halina hisia tena. Shida ni nini, au ni upinzani...
7 Reactions
36 Replies
4K Views
Hivi kuna tatizo gani msanii akidownload beat na kurekodia nyimbo?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Je, ni ngoma gani ya Bob Marley ambayo hadi leo ukiisikiliza unaona kama wimbo mpya kwenye masikio yako?
5 Reactions
70 Replies
9K Views
Ahlan wasahlan wanajamvi, Wazima ninyi? Hopefully wote wazima. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Honestly speaking, Rayvanny ndiyo almasi pekee iliyobakia WCB, kivipi? Twende...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…