Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,798
- 156,935
Ni jambo la kusikitisha kwa huyu binti kukatishwa uhai na mumewe kumkata na shoka kichwani siku ya tarehe 25, kwa kile kilichodaiwa muwe alichukia kuandaliwa chai siku ya sherehe ya kuadhimisha kuzaliwa Bwana Yesu.
Binti huyu Mary Richard ambaye ni muimbaji wa nyimbo za injili, nilimfahamu miaka 3 iliyopita alipokuwa akiisha Dar es salaam na baadaye alihamia Moshi alipoishi mwaka mmoja kabla hajarejea kwao Arusha na ndipo alipoolewa na huyu muuaji wake maeneo ya Kilinga, Usariver.
Habari hii imesikitisha wengi kwani binti huyu amedumu wiki tatu ndani ya ndoa kabla kadhia hii kumfika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binti huyu Mary Richard ambaye ni muimbaji wa nyimbo za injili, nilimfahamu miaka 3 iliyopita alipokuwa akiisha Dar es salaam na baadaye alihamia Moshi alipoishi mwaka mmoja kabla hajarejea kwao Arusha na ndipo alipoolewa na huyu muuaji wake maeneo ya Kilinga, Usariver.
Habari hii imesikitisha wengi kwani binti huyu amedumu wiki tatu ndani ya ndoa kabla kadhia hii kumfika.
Sent using Jamii Forums mobile app