Nakuleteeni swali, wajuzi wa maarifa,
Mlojaliwa akili, na bongo zisizokufa,
Muwezao ona mbali, naombeni maarifa,
Mapenzi ni kitu gani?
Mapenzi ni kitu gani, swali langu nauliza,
Kwani...
TUTAFIKA SALAMA MKE WANGU.
Na, Robert Heriel
Miaka ilienda nayo haikurudi, muda ukapita wala hatukuuona tena. Ahadi nilizomuahidi sasa aliziona ni ndoto ya mchana. Ndoto za alinacha kamwe...
1.Alianza mwaarabu,kutafuta mali zetu
Kupitia marikebu,akafika pwani zetu
aliwakuta mababu,wakinena lugha zetu
Mzungu na mwaarabu,mbaya wetu ni nani?
2. Akauza zake shanga,vikombe na mabirika...
Jamani nilikua naomba kujua ni jinsi gani msanii anaweza kujisajili katika Baraza la Sanaa na Utamaduni (BASATA),ili aweze kutambulika rasimi na kuweza kulinda haki za kazi zake.
Kwa mwenye...
Habari wapenzi wa movie za Hollywood, Nitajieni movie nzuri.
Genre: Action /Detective / Adventure /Mystery /Sci-fi /Disasters /Wars / Crime
Zile nzuri kabisa kwanzia mwaka 2005 - present
-...
Konde boy amepost twitter kwamba album ya pili ipo njiani mwaka huu.
Ina maana album 2 ndani ya mwaka mmoja,nadhani hakuna aliyeweka rekodi hiyo bongo.
Mtazamo wangu naona angepush kwanza nyimbo...
Hii nyimbo imefanya maajabu mengi sana. Siku ilipotoka tuu ilikua trending kwenye nchi mbalimbali, ikaenda hadi kwenye nchi kubwa kama Marekani ilikua namba 40 on trending na Ufaransa pamoja na...
Habarini wakuu poleni na michakato ya maisha.
Moja kwa moja niende kwenu nyie ma actors/actress wa bongo pamoja na directors,producer's mnakwama wapi ndugu zanguni ? Je tatizo ni nini? Ni...
MSANII aliyejizolea umaarufu mkubwa ndani na nje ya Bongo miaka ya 2000, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ ameibuka upyaaa!
Safari hii fujo na makeke yake yanatokea nchini Kenya ambako ameweka makazi yake...
Huyu Tommy flavour, ana uwezo mkubwa sana kimuziki, kwa maoni yangu sioni kama ni movement sahihi kuwa chini ya ali kiba, itakuwa ngumu sana kupanda chati na kukuza muziki wake
Naona alipaswa awe...
Eminem alirap kwenye Love the way you lie alafu Rihanna aliimba Chorus moja hatari saana kutokana na uwezo mkubwa aliokuwa nao.
T.i alirap sana kwenye live your life alafu Rihanna huyo huyo...
Ukisikia duniani watu wanasema huyu mtu ana akili, basi akili yenyewe ndiyo hii. Kujua matokeo ya maamuzi unayofanya.
Wasomi watakwambia kila kitu kinawezekana. Lakini mimi nasema kuna vitu...
Aisee Mabaharia wenzangu tusaidiane kujua nyimbo zetu zilee ambazo huwa tunazitumia kama mtego geto, demu akijichanganya tu basi ananyonyolewa taaaratiibu
Nikki Minaj -Anaconda-
Enrique Iglesias...
Hii ni Moja kati ya wimbo uliobuma Mapema sana, Mtaani hausikiki, kwenye Media umebaki unapigwa Wasafi pekee, Mabodaboda pia wameupotezea, Everything back to Normal kama vile hakukua na Ngoma mpya...
1.3 Idiots
2.John Carter
3.Kingsman: The Secret Service
4.Hurricane Heist
5.
Hizi muvi nazikubali kinoma.
Je kuna muvi zimefikia level kali kama muvi hizo nilizotaja hapo juu?