Harmonize kuachia Album ya pili

Harmonize kuachia Album ya pili

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,368
Konde boy amepost twitter kwamba album ya pili ipo njiani mwaka huu.

Ina maana album 2 ndani ya mwaka mmoja,nadhani hakuna aliyeweka rekodi hiyo bongo.

Mtazamo wangu naona angepush kwanza nyimbo zake za album iliyopita maana ni kama haijasumbua sana
 
Konde Gang ktk peak yakeeeeeeeeh. Weuweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeh
 
Nme ona ana unga juhudi kule insta kwa nguvu zote
 
Alisema tarehe 27 june 2020 atafanya uzinduzi wa album ya Afro East kwa mara ya pili special kwa ajili ya wale wasioalikwa Mlimani City (wananchi wa kawaida).

Show alisema itafanyikia uwanja wa Uhuru na wasanii wote walio shirikishwa ktk album ya Afro East watakuwepo siku hiyo ya 27 june.Sasa kahairisha au hatofanya tena au atasogeza mbele.
 
Albam? Yaani anarudi zama za Mabaga Fresh na Gangwe Mob? ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom