Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 3,738
- 7,688
Hii ni Moja kati ya wimbo uliobuma Mapema sana, Mtaani hausikiki, kwenye Media umebaki unapigwa Wasafi pekee, Mabodaboda pia wameupotezea, Everything back to Normal kama vile hakukua na Ngoma mpya iliyotoka, Hata ile Show ya MTV Base Imeshindwa kuibust hii ngoma
Kwanini siku hizi nyimbo toka kwa Diamond hazikai muda mrefu na watu wanazichoka mapema sana?
Kipimo cha mziki wake toka fans eti ni Youtube, hawajui kama Youtube akaunti yake imejaa Maroboti
Kwanini siku hizi nyimbo toka kwa Diamond hazikai muda mrefu na watu wanazichoka mapema sana?
Kipimo cha mziki wake toka fans eti ni Youtube, hawajui kama Youtube akaunti yake imejaa Maroboti