Mkulu wawe
Member
- Mar 4, 2020
- 88
- 116
Niko namsikiliza Diva, story zote anatoa hapa hapa JF, kumbe JF ni Jukwaa la Great Thinkers. Kongole kwa waanzilishi na wana JF wote
Awe anatoa credit sasa, sio kukopi na kupaste
Wote tumezisikia hizo story?
Mawinguni karudi.Diva karudi mawingu au yupo redio gani?
Yuko mawingu Kama kawaDiva karudi mawingu au yupo redio gani?
Sijui mkuu,ila ntajarbu ku connect dotsAnatumia id gani humu nimtafute
Kwa hiyo Diva kuchukua story humu ndiyo kigezo cha wewe kuona kwamba JF ni jukwaa la Great Thinkers!
Aisee.
Si uziweke hapaNitajuaje so,kwani mm nakuwa nanyi?
Mawinguni karudi.
AhsanteeeYuko mawingu Kama kawa
Hata Magu, hotuba zake huwa anakopi humu humu kwa Kawe...
Mkuu ni uwongo we jamaaHata Magu, hotuba zake huwa anakopi humu humu kwa Kawe...
Mkuu ukifanikiwa kupata ID yake nishtue nataka ni pm ili nijue Kama kapunguza bei nikamuoeAnafanya hivyo miaka mingi tu. TULISHAMSTUKIA.