kavulata JF-Expert Member Aug 2, 2012 12,307 12,604 Jun 26, 2020 #1 Mtafika mbali sana kimataifa Kama mtaukumbatia na kuwekeza zaidi huku kuliko kwenye Hip Hop na mingine ya kigeni.
Mtafika mbali sana kimataifa Kama mtaukumbatia na kuwekeza zaidi huku kuliko kwenye Hip Hop na mingine ya kigeni.
Katalama JF-Expert Member Mar 19, 2019 854 1,474 Jun 26, 2020 #2 yna2 Ni wasanii! Alitaka isomeke hivyo!
Beeb JF-Expert Member Aug 18, 2018 29,402 58,951 Jun 26, 2020 #3 BrainIndependent said: Ni wasanii! Alitaka isomeke hivyo! Click to expand... Ahsante.
Katalama JF-Expert Member Mar 19, 2019 854 1,474 Jun 26, 2020 #4 kavulata said: Mtafika mbali sana kimataifa Kama mtaukumbatia na kuwekeza zaidi huku kuliko kwenye hipup na mingine ya kigeni Click to expand... Ebu tupe darasa kidogo kuhusu huo muziki wenu.
kavulata said: Mtafika mbali sana kimataifa Kama mtaukumbatia na kuwekeza zaidi huku kuliko kwenye hipup na mingine ya kigeni Click to expand... Ebu tupe darasa kidogo kuhusu huo muziki wenu.