kavulata JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 17,076 Reaction score 16,739 Jun 26, 2020 #1 Mtafika mbali sana kimataifa Kama mtaukumbatia na kuwekeza zaidi huku kuliko kwenye Hip Hop na mingine ya kigeni.
Mtafika mbali sana kimataifa Kama mtaukumbatia na kuwekeza zaidi huku kuliko kwenye Hip Hop na mingine ya kigeni.
Katalama JF-Expert Member Joined Mar 19, 2019 Posts 855 Reaction score 1,483 Jun 26, 2020 #2 yna2 Ni wasanii! Alitaka isomeke hivyo!
Beeb JF-Expert Member Joined Aug 18, 2018 Posts 29,392 Reaction score 59,148 Jun 26, 2020 #3 BrainIndependent said: Ni wasanii! Alitaka isomeke hivyo! Click to expand... Ahsante.
Katalama JF-Expert Member Joined Mar 19, 2019 Posts 855 Reaction score 1,483 Jun 26, 2020 #4 kavulata said: Mtafika mbali sana kimataifa Kama mtaukumbatia na kuwekeza zaidi huku kuliko kwenye hipup na mingine ya kigeni Click to expand... Ebu tupe darasa kidogo kuhusu huo muziki wenu.
kavulata said: Mtafika mbali sana kimataifa Kama mtaukumbatia na kuwekeza zaidi huku kuliko kwenye hipup na mingine ya kigeni Click to expand... Ebu tupe darasa kidogo kuhusu huo muziki wenu.
NAWATAFUNA JF-Expert Member Joined Nov 14, 2019 Posts 13,281 Reaction score 24,073 Jun 26, 2020 #5 Singeli ni mziki wa kihuni.
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 36,510 Reaction score 88,977 Jun 26, 2020 #6 Singeli sio muziki ni makelele..
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 116,379 Reaction score 188,086 Jul 3, 2020 #7 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]