Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Niko ndani ya club like Niko ndani ya club like, niko na chriss na mose fedha, nami na mabinti na.. DJ D-White anapiga retrack hakuna anayekaa, wote tunaruka niko club, mi na honey, tuna'dance...
2 Reactions
16 Replies
5K Views
Msanii Zuchu kaingia rasmi kwenye singeli baada ya kutamba na kibao cha sukari. Kwa habari nilizonazo huu wimbo aliyoimba na kuutoa leo ulikuwa wimbo wa Meja kunta na Msanii Zuchu kauziwa...
7 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari za asubuhi guys.. Kuna huyu msanii almaarufu kama mirror nakumbuka miaka michache iliyopita kakimbiza sana na ngoma zake Kali na hata kwenye matamasha. Baadhi ya ngoma zake Kali na...
4 Reactions
22 Replies
6K Views
Mimi si mfuatiliaji wa karibu sana wa muziki wa bolingo lakini huwaga kuna baadhi ya wanamuziki wa Kikongo (Franco, Tabu Ley, Madilu System, Nico, Kofi Olomide, etc) huwa nawazimia sana...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Wanamuziki kwenye nyimbo zao za video wamekua wakibuhusiana wakati mademu hao si wao inasaidia nini? Unakuta nyimbo ni nzuri kusikiliza ila ukija kutazama video utamani hata watoto wako...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Kuna wakati bongo movie wanatengeneza movie nzuri saana mpaka unataman uiangalie mara kwa mara Kwa mfano mimi huwa napenda movie za tiny white&ringo(kamanda mstaafu,n.k) huwa siwachoki...
4 Reactions
54 Replies
9K Views
Kuna story fulani kipindi fulani niliisoma iliitwa Muwa uliozamisha meli.. yule nahodha wa meli ile alipokuwa akisafiri na miwa mitamu akaamua aonje kidogo baada ya kuonja akanogewa akaanza kula...
1 Reactions
2 Replies
6K Views
Mwanzoni mwa mwaka huu Kiba alifanya interview na akatutaarifu mashabiki kuwa haitafika mwezi wa Sita. Kabla hajatoa album. Lakin Sasa hivi tunaelekea July. Mambo kimya. Nini kimemsibu mfalme huyu?
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Mwaka juzi kulikuwa na battle ya Mitindo huru humu jukwaani ila baadae sijui yaliishia wapi. Huu uzi ni mahususi kwa mashindano. Na kwa kila mwaka mshindi atakuwa ana be updated hapa. 2015...
39 Reactions
1K Replies
76K Views
Mwandishi: Nyemo Chilongani. 0718069269. Sehemu ya 01 “I need to see his picture,” (Ninahitaji kuiona picha yake) alisikika mwanaume mmoja kwa hasira, aliongea kwa sauti ya juu kiasi kwamba kila...
13 Reactions
149 Replies
26K Views
Habari wadau! Mimi sio mfiatiliaji sana wa muzik ila naukubali sana muzik hasa pale akili ikiwa imechoka naingia youtune kuchek video mpya ndan na nje ya nchi sasa kuna upuuzi nimegundua. Yaan...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Kwa wale wapenzi wa nyimbo za dini njooni tule kionjo hiki. Nawatakieni siku njema.
2 Reactions
7 Replies
2K Views
MUUAJI MWENYE BARAKOA - 30 Sultan Uwezo [emoji1241]+255 764 857 776(wsp) Catherine akaona ashuke kwenye gari na kujificha ili ajue askari huyu anamfuatilia kwa lengo gani. Alifunga mlango baada...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
MUUAJI MWENYE BARAKOA - 29 Sultan Uwezo [emoji1241]+255 "Kwangu wewe ni sawa na Maadui wengine Catherine, kuna kitu ambacho ulikuwa hukijui bila shaka mama bibi yako hakuwahi kukueleza vizuri juu...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Sultan Uwezo 🇹🇿 +255 Mchungaji Rodney alisimamisha gari lake kando ya mto senegal na kisha akashuka chini taratibu akijikagua suruali yake ya kadeti ya kaki ambayo ilikuwa imechafuka sana...
3 Reactions
40 Replies
12K Views
Mi sio mchambuzi mzuri saaana wa hizi Bongo Fleva lakini naona Bwana Konde hapa kalazimisha tu. Angeacha tu Altitude ibaki vile vile. Kamuimbia Mh S.H.S Rais wa JMT vizuri kwa kumpa sifa, moyo...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa wale wapenzi wa burudani wafutiliaji mziki wa nje US na pande zingine duniani leo nataka kuwapa elimu hii. Kuna watu wanafatilia sana mziki wa nje nazungumzia Us wengi humu tuna wasanii...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Leo kipindi cha Planet Bongo huku Dj Summer na yale manjonjo yake balaa tupu kule Dula Planet mwenye Bongo yake mara paap nikasikia goma la Rayvanny na Zuchu Number One limechezwa hewani...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
nauliza wapi lilipo kundi la hawa wakali H.B.C(HARD BLASTERS CREW),kulikuwa na fanani,terry,na nigger j ,wapi lilipo hili kundi
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Good Doctor Native Title: 굿 닥터 Also Known As: Green Scalpel , Green Mass Director: Kim Jin Woo, Ki Min Soo Screenwriter: Park Jae Bum Genres: Romance, Life, Drama, Medical Country: South Korea...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom