Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

50 CENT, GHETTO ECONOMICS NA MUZIKI WA RAP - 1 UTANGULIZI Peace Family Kwenye Kitabu nilichoandika cha “Uelewe Utamaduni wa Hip Hop” kuna sura inajulikana kama “Vita vya Kimashahiri mjini New...
8 Reactions
14 Replies
3K Views
Back to Back Song mpaka mteme ndoano. Kule kwa wachafu roho baada ya mziki kubuma, na kik za mademu Kubuma sasa wamejikita kwenda kukopa hela benk ili wanunue mandinga waweze trend
5 Reactions
18 Replies
4K Views
Hatimaye ijumaa imefika. Album hii, binafsi niliisubiri sana, mimi ni mdau mkubwa wa muziki wa Reggae, hawa jamaa wa Morgan Heritage ni moja ya Band bora kabisa ya Reggae. Gramps Morgan ametoa...
1 Reactions
0 Replies
841 Views
Burudani na mazoezi yamekuwa na umuhimu mkubwa katika karne hii. Viongozi katika nchi nyingi wamekuwa wakijaribu katika kuhimiza wananchi wao katika swala zima la kufanya mazoezi. Kuwepo na...
0 Reactions
0 Replies
796 Views
Kuna Mzungu alikuja Tanzania kwa shughuli za kikazi. Katika mihangaiko yake alisikia njaa na muda wa lunch uliwadia. Alifikiria pa kupata chakula, aliamua kutafuta sehemu inayouza chakula apate...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
Pata nafasi ya kuskiliza wimbo mpya wa @alikiba Ft @Mayorkun kutoka Nigeria Jina la wimbo...jelous
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Simulizi: AKWELINA Mwandishi: RUVULY DE FINISHER Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 YA 50 """ Mke wangu unajua hii inchi yetu ina mambo mengi mno ambayo tukiyaangalia kwa macho tunaona...
5 Reactions
77 Replies
18K Views
Hakika mwigizaji Jumanne Rajabu mwanzoni alikuwa anafahamika sana kwa jina la uchekeshaji la Chili Sosi au Chili akiwa na swahiba wake Ringo baada ya kuamua kuuvaa uhusika wa mganga wa kienyeji...
4 Reactions
12 Replies
4K Views
Inapendeza kuona mji wa dhahabu makao ametuandalia/ Lakini ikifunguliwa milango humo napenda kwanza kumuona yesu/ Ooh napenda/ Napenda kwanza kumuona yesu na sura yake ya ajabu kuu/ Mbinguni...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
If only you could see the tears In the world you left behind If only you could heal my heart Just one more time Even when I close my eyes There's an image of your face And once again I come to...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wana JF nawaletea simulizi nzuri ya Ulikuja kutafuta nini? Kama mtaipenda basi ntawaletea sehemu ya 02 sahivi tucheki hii sehemu ya 01. Kweli hamna kinachoshindikana mbele za Mungu baada...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mtunzi Juma hiza Sehemu ya 01 Shauku niliyokuwa nayo ni jinsi nitakavyomuona dada na shemeji kwani mara ya mwisho ni siku ya ndoa yao iliyofanyika kwenye ukumbi wa New Msasani Club. "Wengi...
4 Reactions
85 Replies
13K Views
Baada ya kupata umaarufu mkubwa kutokana na upekee wa mtindo wake masimulizi, Msimu wa Pili wa Filamu Serengeti (Serengeti II) unarejea kuanzia kesho. Filamu hiyo inayosimulia maisha ya kila siku...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Marie Jose alimfanya nini lokasa, nyimbo hii alikuwa anaipenda sana dingi miaka ya 1993 nikiwa std 1, krismas dingi alikuwa akiwenda kanda na kuirudisha nyuma mpaka tuliposinzia, Je, nani anayo...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Msaada wenu tafadhali. Nahitaji wimbo wa 'walimu tuna hali ngumu' ulioimbwa na marehem John Walker na Mkoloni, video au audio. Kama kuna mwenye wimbo huo naomba anitumie. Huo wimbo ulikua...
1 Reactions
24 Replies
13K Views
Kama kichwa kinavyojieleza, naomba mni-pm mawasiliano ya J. Nature kwaajili ya shida binafsi. Zaidi ya yote ni moja ya wasanii wakongwe ninao wakubali sana.
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Gang of London seasons 2 itaachiwa mwanzoni mwa mwaka 2022. Kuna baadhi ya wahusika wanatalajiwa kurudi, ila Sean Wallace bado haijajulikana. Story ni miaka miwili baada ya matukio ya season 1...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mamamamaa! Nyie! Nyimbo Nzuri Sana ipo huko YouTube ya Barnaba Keep watching good music
2 Reactions
9 Replies
3K Views
jiwe jipwa kutoka kwa mnigeria na simba
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Back
Top Bottom