Salute ya alikiba inaenda kuvunja record?

Salute ya alikiba inaenda kuvunja record?

Chinona

Member
Joined
Jul 14, 2017
Posts
53
Reaction score
44
Nimasaa nane na dk kadhaa tangu king wa bongo flavor yake aachie chupalake jipya alilo mshirikisha Rudeboy kutoka west-Africa [emoji1184]. Ndani ya huu mda wa masaa nane una viewers 500K+ .....ukweli ni kwamba hii ni moja ya video bora kabisa tulizo wahi kuzishudia kutoka kwa wasanii wetu wa hapa +255 ....kwa sasa nasubiria ndani ya 24hr nione je kuna ka record kokote kana weza kuvunjwa na mzee wa yooòoòh
 
Huyu kiba naye ni CCM ya Magufuli tu, wale wale kama Diamond. Hana jipya na wala hatupaswi kupoteza muda kumjadili hapa JF.
Watanzania tunataka Katiba mpya na Dikteta Samia anasema yeye anataka uchumi. Sasa ama tujadili uchumi au katiba mpya.
 
Nimasaa nane na dk kadhaa tangu king wa bongo flavor yake aachie chupalake jipya alilo mshirikisha Rudeboy kutoka west-Africa [emoji1184]. Ndani ya huu mda wa masaa nane una viewers 500K+ .....ukweli ni kwamba hii ni moja ya video bora kabisa tulizo wahi kuzishudia kutoka kwa wasanii wetu wa hapa +255 ....kwa sasa nasubiria ndani ya 24hr nione je kuna ka record kokote kana weza kuvunjwa na mzee wa yooòoòh
Salute aisee

Huku harmonize Ana simulia kuna mchawi mmja alikuwepo kijijini sasa kila mmja alikuwa anataka kufundishwa uchawi ili waweze kuwakomesha watu wanaowachokoza ama kuwaudhi yeye ama wengine kwa kuwa fundisha siku moja yule mchawi .....

Link
 
Huyu kiba naye ni CCM ya Magufuli tu, wale wale kama Diamond. Hana jipya na wala hatupaswi kupoteza muda kumjadili hapa JF.
Watanzania tunataka Katiba mpya na Dikteta Samia anasema yeye anataka uchumi. Sasa ama tujadili uchumi au katiba mpya.
Mama anaupiga mwingi kawa dikteta tena duh!!!...Mbowe company limited huwa mnahitaji nini katika haya maisha?
 
Back
Top Bottom