Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,974
- 13,614
Siyo Marijan Rajab. Wala siyo Hemedi Maneti. Pia si Eddy Sheggy. Gurumo, Moshi, Bitchuka na wengineo wenye uwezo aliokuwa nao Dudumizi, Jerry Nashon. Msikilize kwenye vibao kama Imakulata, pesa ndio inasababisha, Tereza, ndio utajua namaanisha nini.
Nimejiridhisha bila shaka yoyote kwamba dudumizi ndio Michael Jackson wa Tanzania. Franko Luambo Makiadi wa Tanzania na Bob Marley wa Tanzania.
Wale msiojua musiki msikomenti hapa. 😉
Nimejiridhisha bila shaka yoyote kwamba dudumizi ndio Michael Jackson wa Tanzania. Franko Luambo Makiadi wa Tanzania na Bob Marley wa Tanzania.
Wale msiojua musiki msikomenti hapa. 😉