Kuna nyimbo za Hiphop Bongo nimewahi zisikia mara chache ila ni kali sana
1. Kuna wimbo wa mpenzi bubu. Achana na ile ya Hbaba. Hii ni hiphop mwanzo mwisho na jamaa anaflow vibaya mno japo kuna...
Bonge moja la [emoji327].
Hili sinema nalicheki hapa matichoisi nilikuwa na DVD yake enzi za 8 in one...bonge moja la burudani hasa kwa sie wapenda ndinga za mbio....hihaaaa
Boo: So you guys...
NYEMO CHILONGANI
0718069269
Sehemu ya 01.
Ilikuwa ni taarifa mbaya, iliyoshtua ambayo ilianza kwa kusikika katika sehemu mbalimbali jijini Las Vegas nchini Marekani kabla ya kuwafikia polisi...
Hebu kila mtu aangalie picha hii hapa chini kisha atoe maoni yake bila hila wala inda. Huu ni uchekeshaji ama udhalilishaji??
UPDATES:
Kupitia comments zenu nimegundua kuwa watu wanachanganya...
Dear family and close friends,
I hope this letter finds all of you well. I know some of you must be wondering where the pictures are that I so often attach to my emails. Unfortunately, this is...
Habar watanzania polen na majukum Leo nimeona niwawekee sababu 10 za kwanini sito mpigia kura Diamond kwenye Tuzo za Bet
1) kwanza Diamond mimi sio mashabiki wake na wala sijawahi kumpenda
2)...
Without Rumorse
Kikosi cha wanajeshi kikiongozwa Liutenat commander wa kike wakiwa kwenye mission Huko Alleppo - Syria wakishirikiana na kwaajili kwa kumuokoa agent wa CIA anayedaiwa...
Hii inaitwa street fighter legacy humo ndan kuna ryu na ken na kaka msaliti jambazi akuma nimeitafuta sana internet nimeikosa
Mwenyewe anaijua namna yakuipata tafadhari aniachie linki niipakue...
My Take:
Uyu jamaa "MEJJA" ana kipaji kikubwa sana cha kuimba mziki wa kuchekesha.
Uyu jamaa Ni stress free,
Uyu jamaa idea za Nyimbo zake sijui huwa anazitolea wapi, yaani Ni full vituko...
Wadau, kwa wale mliosikia huu wimbo, maneno hayo kweli yanafaa kutumiwa kwa wimbo unaopigiwa katika vituo kama vya radio, kwenye daladala na sehemu nyingine za public?
Binafsi maneno hayo naona...
Hii nchi inaongoza kwa unafiki, hii ngoma imetoka mmekaa kimya, hamsemi wala hamsikilizi
Kuna watu wanasikiliza mziki kwa majina ya wasani. Dayna Ft Davido ELO ni ngoma kali sana na hii ni...
Jana Jioni Baada ya Kuchoshwa na Kazi za Kaisari, niliingia You tube kutafuta nyimbo nilizokuwa nikizisikiliza.
Nikabahatika kumkumbuka Msanii mmoja toka Iringa akifahamika kama Mike T aka...
Leo 2/6/2021 msanii kutoka Label Ya Konde World Wide Music ameachia kibao chake kinachoitwa ROHO...
Unaweza kusikiliza kibao kupitia mitandao mbalimbali...
Kwa Maoni Yangu Dogo Its Great Song
Kama umeangalia angalia hizi movie nisaidie nijue ipi nzuri niitafute, naweza Google lakini ntakuwa sina uhakika kama itakuwa nzuri, nahitaji za dizaini ya troy, alexander, braveheart, 300...
Aisee! Huu wimbo Nibebe wa Kusah x Barnaba una mwaka sasa ila mimi ndio kwanza nimeusikia leo. Kuna wasanii wanajua kuimba ila hawana nyota. Mashairi mazuri, ujumbe mzuri wa mapenzi, sauti tamu...
Wakuu habarini za leo.
Poleni na majukumu na sakata la BET. Wimbo ya kijana wa KONDEGANG ibra mnaichukuliaje
Naiona ni nyimbo moja hatari sana na ubunifu wa kutisha je nyie mnaichukuliaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.