Wadau,
Leo nimefanikiwa kununua Gitaa langu la kisasa kwa pesa yangu, nimefurahi sana! Nilianza kupiga Gitaa nikiwa darasa la tano shule ya msingi hadi leo nimeshamaliza chuo, nina familia...bado...
Kuna wimbo wa TOT wa kumuaga hayati Magufuli una kiitikio kinaimba,
"Mpendwa Rais John Pombe Magufuli kamwe hatutamuona tena"
Hayati mpendwa Magufuli
Kipindi chake duniani
Japo kilikua kifupi...
Habari wakuu,
Siku kadhaa zimepita tangu watu wanaojiita wanaharakati wa mitandao kuwaongoza wananchi kuandaa na kusaini petition yenye lengo la kumdisqualify Diamond platnumz kushiriki tuzo za...
Kuna nyimbo moja inapigwa kwenye mahafali sanasana ya vyuo kuna sauti ya mwanadada inasikika akiimba everyday we wanna cerebrate ohoo.. nimegoogle sana mpaka lakin wap msaada anayeifahamu.
Na...
USHINDI wa 4-1 waliopata Simba dhidi ya Mbeya City unawafanya klabu hiyo kuhitaji pointi nnetu ili wawe mabingwa wa Ligi Kuu Bara.
Mabao ya Rally Bwalya, Luis Miquissone, John Bocco na Clatous...
Filamu (movie)kali hasa kitalii kwa afrika inafanyika sana kenya na nchi zingine.
Kenya kupitia filamu nyingi location inakuwa kenya wanajitangaza kiutalii mfano endangered species unaona mlima...
Wakuu habari ya Jumapili?
Ningependa kuwapa pongezi wale walipata chochote kwenye teuzi za mama na ambao hatujapata kazi iendelee yote maisha. Msaana naomba uniwekee SERIES ZAKO KALI ZA KIVITA...
Nimeichek hii movie director ameeitendea movie toka kampuni ya disney
estella anazaliwa akiwa na nywele zenye rangi mbili yaani nyeusi na nyeupe miaka inasogea estella anakua anaanza shule ya...
Mfalme wa muziki wa Taarab nchini na kimataifa Mzee yusuf ameamua kurudi kwenye mziki wa taarab baada ya kupumzika kwa takribani miaka 3.
Sasa ameachia nyimbo mpya kabisa ambayo mwimbaji ni Mke...
Nimeusikiliza na kutazama kazi mpya ya kings Ndombolo Kazi, nzuri ila Kiba kazi zenu mnafanya fanya tu ilimradi. Hii ngoma ni ya kuchezeka pale ilitakiwa mvunjike na hivyo viuno ngoma ni ya...
Mzuka wanajamvi!
Nilikuwaga nausikiaga kwenye redio sana kipindi cha nyuma. Muda wote huo mimi nilidhani unaitwa 'wuu-huu' kumbe unaitwa walk of life umeimbwa na kundi flani Dire Straight...
Nautafuta wimbo mmoja wa enzi hizo amabo una lyrics hizi "Waniwekea fitina ninyang'anywe gari langu, Fitina mbaya, wivu ni mbaya, acha fitina weee jirani we acha'.
Niko ndani ya club like
Niko ndani ya club like, niko na chriss na
mose fedha, nami na mabinti na..
DJ D-White anapiga retrack
hakuna anayekaa, wote tunaruka
niko club, mi na honey, tuna'dance...
Msanii Zuchu kaingia rasmi kwenye singeli baada ya kutamba na kibao cha sukari. Kwa habari nilizonazo huu wimbo aliyoimba na kuutoa leo ulikuwa wimbo wa Meja kunta na Msanii Zuchu kauziwa...
Habari za asubuhi guys..
Kuna huyu msanii almaarufu kama mirror nakumbuka miaka michache iliyopita kakimbiza sana na ngoma zake Kali na hata kwenye matamasha.
Baadhi ya ngoma zake Kali na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.