SWAELEE kwenye album ya Diamond platnumz

SWAELEE kwenye album ya Diamond platnumz

Franky Samuel

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
5,505
Reaction score
14,793
Diamond alitutangazia album mwaka huu na juzi kati alikua south Africa kufanya finishing ya album leo ameshea picha kwenye page yake ya Instagram akiwa anaongea na mwanamuziki wa marekani swaelee na akatujuza juu ya ngoma yao ya pamoja
20210702_192934.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ama kweli kila jambo na wakati wake, huyu swaelee ndio nimemjulia hapa kwa mara ya kwanza.

Juzi kati kuna dogo kaja kavaa [emoji442], kichwa kinadundika, anaongea mwenyewe, kufika kwangu baada ya salaam, namtania naona unakula ngoma.. Akaniambia sikia mwenyewe, ngoma kali kinoma, kusikiliza nahisi kelele nyingi, namuuliza ndio nani huyu ananiambia 69(six,nine) akili ikatoka kwenye muziki nikaiwazia 69 na shemeji yake, nikampa [emoji442] zake, na kumwambia aendelee kula ngoma zake.
 
Ama kweli kila jambo na wakati wake, huyu swaelee ndio nimemjulia hapa kwa mara ya kwanza.

Juzi kati kuna dogo kaja kavaa [emoji442], kichwa kinadundika, anaongea mwenyewe, kufika kwangu baada ya salaam, namtania naona unakula ngoma.. Akaniambia sikia mwenyewe, ngoma kali kinoma, kusikiliza nahisi kelele nyingi, namuuliza ndio nani huyu ananiambia 69(six,nine) akili ikatoka kwenye muziki nikaiwazia 69 na shemeji yake, nikampa [emoji442] zake, na kumwambia aendelee kula ngoma zake.
Unajua wimbo unaitwa Unforgettable? Wa French Montana.!! Swae lee yupo humo.
Ni well-known rapper .
 
Unajua wimbo unaitwa Unforgettable? Wa French Montana.!! Swae lee yupo humo.
Ni well-known rapper .
Imebidi niugoogle, nikakuta sio mgeni masikioni mwangu na ile video yake nishaiona kama mara 2,3 hv...

Nimeona ft swae lee, karibia mara 2 nilipoiona ike video bado sikumjua huyu swae lee, aidha nilikuwa naikutia kati au ni vile umakini wa kuafyilia mziki umeniisha.
 
Ama kweli kila jambo na wakati wake, huyu swaelee ndio nimemjulia hapa kwa mara ya kwanza.

Juzi kati kuna dogo kaja kavaa [emoji442], kichwa kinadundika, anaongea mwenyewe, kufika kwangu baada ya salaam, namtania naona unakula ngoma.. Akaniambia sikia mwenyewe, ngoma kali kinoma, kusikiliza nahisi kelele nyingi, namuuliza ndio nani huyu ananiambia 69(six,nine) akili ikatoka kwenye muziki nikaiwazia 69 na shemeji yake, nikampa [emoji442] zake, na kumwambia aendelee kula ngoma zake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ama kweli kila jambo na wakati wake, huyu swaelee ndio nimemjulia hapa kwa mara ya kwanza.

Juzi kati kuna dogo kaja kavaa [emoji442], kichwa kinadundika, anaongea mwenyewe, kufika kwangu baada ya salaam, namtania naona unakula ngoma.. Akaniambia sikia mwenyewe, ngoma kali kinoma, kusikiliza nahisi kelele nyingi, namuuliza ndio nani huyu ananiambia 69(six,nine) akili ikatoka kwenye muziki nikaiwazia 69 na shemeji yake, nikampa [emoji442] zake, na kumwambia aendelee kula ngoma zake.

Swae Lee kwao ni popular ila kwa Tz wanaomjua ni wachache wale wanaofuatilia mzik kwa ukaribu,
nilimjua vzr kutoka kwa mdau wangu anaitwa Swalehe ila yeye anajiita Swae Lee kwahyo anajua ngoma kibao za jamaa
 
Back
Top Bottom