Mkuu umenena vema.Dahhhh mkuu hapo huwezi kuwalinganish
Wote wakali
Hapo kuna Simba, Tembo na faru.
morgan freeman namkubali huyu mzee nikiona jina lake huwa namuangalia ila hamuwezi Denzal Washngton
sitanii mkuu. Deenzel ana Oscar 2, Morgan 1 na Samuel 0. ila kwenye total box office dunia nzima hakuna kama Samuel. nikicheki performance ya Jackson kwenye movie zake huwa nastaajabu kipaji. nikija kumcheki Denzel na Morgan naona nao wamoto.Ni kweli hujui au unatania?
Mr speaker anakwambia magaidi ukiwapa kitu watataka kingineNikiona movie kwenye cover in huyo mzee, nainunua bila hata ya kusoma maelezo. Najua iwe amehusika au ni yake itakua ya ukweli tu.
Mr speaker anakwambia magaidi ukiwapa kitu watataka kingine
Mwanangu hao watu ni hatari huwezi kusema nani kampita mwenzake..mana ukimcheki denzel kwenye TWO GUNS afu samuel kwenye AVENGERS au XXL ni hatarinimejiuliza kati ya hawa waigizaji weusi nani ni mkali zaidi sijapata jibu. we unaona nani mkali zaidi ya wenzake?
jamaa analine za ukweli sana. kuna movie inaitwa glory wamecheza na Denzel. Denzel alikuwa mtata kwenye haki zake hadi alikuwa anazingua. Morgan akamwambia "'the only nigger here is you''Mr speaker anakwambia magaidi ukiwapa kitu watataka kingine