Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Habari wakuu, Nahitaji program itakayonisaidia kuandika nyimbo kwa staf notation pamoja na kupangilia sauti kwenye kwaya. Msaada tafadhali
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari waungwana wa JF. Nimekuwa mdau sana wa kucheki movie kwa mda mlefu tangu vidudu naweza sema hichi ndicho kilevi changu pendwa hasaaa. Kuna movie moja yakizungu sikubahatika kuijua jina na...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
CHOMBEZO: PAULA MFARANSA MWENYE VISA SEHEMU YA KWANZA Mtunzi: Eng. Kimox Kimokole - 0786507507 Ni asubuhi njema sana yenye kajimvua ka kiaina kanakosababisha kuwepo na hali ya vuguvugu lenye...
8 Reactions
158 Replies
44K Views
MAMA USINIFUNDISHE UCHAWI. SEHEMU YA KWANZA “Mkoani Morogoro, wilaya ya Mvomero, kata ya Kibaoni, na kijiji cha Maharaka. Anga yote ilikuwa imetanda kuashiria mvua saa yoyote...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mangudu Digi... Dark Master Ngwair! Cowboys in the House! Maseeeela, {Maheeela} Cowboys in the House! Maseeeela, {Maheeela} C'mon, Cowboys in the... Maseeela! Nipeni, nipeni dili masela, Nipeni...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau wa Via Via tumeanza kupata taabu baada ya club yetu pendwa kufungwa. Kila siku ya Alhamisi tulikuwa hatukosi disco na kuvizia vimwana wa kizungu katika hali ya kushangaza majuzi Club...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
1. Wakuu sharti ni ziwe mobile games. Unapotaja aina ya game jaribu kutoa na source ya kulipata au ulivyolipata aidha ni Playstore, Appstore au Kwenye Browsers. 2. Pia unaweza kuweka link...
4 Reactions
151 Replies
25K Views
Najua kuna watu wanapenda kutengeneza beat za muziki zenye viwango vya juu kwa kutumia FL Studio. Hunabudi kuzijua plugins zitakazokusaidia katika hilo. Basi kama unataka kujua Plugins zenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hatuhitaji wanasiasa katika michezo kama waleice karia tunahitaji mtu sahihi anaefahamu nini maana ya michezo atakae jengo msingi ya michezo kuanzia huku chini huko AFCON NA WORLD CUP tutafika tu...
0 Reactions
1 Replies
896 Views
NITAKUUA MWENYEWE - 01 Sultan Uwezo Robinson aliamka asubuhi na mapema kuelekea shambani akiwaacha wazazi wake wakiwa bado wamelala, lengo likiwa kwenda kumalizia kieneo kidogo ambacho...
4 Reactions
22 Replies
7K Views
Maana sasa hivi hawa vijana wa Bongo Fleva wanaimba matusi matupu, hata aibu hawana madhara kwenye jamii yatazidi hasa kuporoma kwa maadili. Big up kwa wasanii wa zamani Bob Rudala, Remmy Ongala...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Nani mkali kati ya Lil Ommy na Jonijo? Nini sababu ya hawa jamaa kutokaa sehemu moja, wana ugomvi gani?
0 Reactions
58 Replies
52K Views
Kuna matusi mengi mno kwenye singeli.. Why BASATA hawagusi hizi nyimbo? 'kalia chupa..kasema kalia chupa' 'mke wangu nenda kadange' 'ntafutie madanga' 'nikipata mzungu nampeleka kwa mpalange'...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Aisee kuna movie nilikuwa naangalia leo ya Kikorea inaitwa Kingdom ni movie ya series nimeangalia season ya kwanza nimependa sana namna ilivyo wameni impress kuzidi kuwafuatilia zaidi ebu naomba...
2 Reactions
26 Replies
16K Views
NITAKUUA MWENYEWE - 20 Sultan Uwezo +255764857776 "Kwa-ni-ni m-nat-ufa-nyia hiiiiviiiii?" Robinson aliongea kwa taabu sana kwani muda alikuwa akitokwa na damu kila sehemu ilipitiwa na mingumi ya...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
RIWAYA: MVAMIZI NA; BAHATI K MWAMBA. SIMU: 0758573660/0656741439. 1: CHIPIPA, ANGOLA… Pembezoni kidogo mwa mji mdogo wa Chipa ulioko ndani ya mkoa wa Chipipa nchini...
10 Reactions
55 Replies
18K Views
NAITWA Omar Ibrahim Msangi. Nilikuwa ndiyo kwanza nitimize umri wa miaka thelathini. Masomo niliyochukua yalikuwa ni ufundi wa kompyuta na nilikuwa nimeajiriwa na kampuni binafsi iliyokuwa...
4 Reactions
19 Replies
6K Views
Shawshank Redemption movie is simply unforgetable
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Aslay jamani, show yake haikujaa tatizo ni nini sasa ni promo au? mbona ray c hakuja ku-perform?
3 Reactions
105 Replies
20K Views
OFFICIALLY NOW ON TV& RADIO. Thanks almighty God, all my audios and Videos songs now have Copyright under ISRC(International Standard Recording Code) and can be Played anywhere all over the World...
4 Reactions
28 Replies
3K Views
Back
Top Bottom