Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Maisha ni safari ndefu yenye Kila aina ya matukio yafurahishayo na kuhuzunisha pia.Miaka ya mwanzoni mwa 2000s nimecheza Sana mziki hapo Darwest.Sasa hivi sipo dar na sitegemei kuishi huko tena...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama umechoshwa na takaka za betting, umbea na siasa, this station is suitable for you. ni full musics, 24/7. iko poa sana. Uzi tayari.
1 Reactions
3 Replies
756 Views
Katika movie za kibongo ambazo binafsi zilinikonga roho ni hii sema ni movie ambayo haiongelewi saaana ukiaangalia uta-enjoy nakama si mtu wa kuelewa haraka pia itakuchanganya , naweza sema ni...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Wiki iliyopita stamina alitoa wimbo mmoja wa future wife. Hapa katk verse ya kwanza alikuwa anamwita aje popote alipo ila verse ya 2 alimwambia asubir kwaza mambo sio poa. Ila mwisho kaletewa bi...
0 Reactions
1 Replies
854 Views
Niambie ipi unaipa tuzo unayoipenda zaidi Kati ya hizo mbili
0 Reactions
3 Replies
660 Views
LOVE BITE ♥️🔥 SEHEMU YA KWANZA ( 01 ) Ni siku ya jumapili iliyokuwa na kila aina ya mchanganyiko wa watu kutoka sehemu mbali mbali walionekana kwenye kumbi za starehe. Wengi ambao walikua...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Ama kwa hakika aliyewahi kuthubutu kusoma kazi za huyu mzee anaweza kusadiki maneno yangu kwamba ni kalamu moja flani hivi yenye utulivu ndani yake..... riwaya kama MWIBA...THE GOD...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu salaam kwenu... Jumapili ya leo nimevutiwa Sana namaneno ya wimbo wa kwaya ya uinjilisti Arusha mjini.Wimbo niwazamani kidogo Ila maneno na ujumbe wake upo imara; Mambo haya...
2 Reactions
1 Replies
997 Views
Verse 01: JayMo Mwenyezi nihurumie kiumbe Chako/ Mbele nitafikaje bila mwelekeo wako/ Kwenye Giza siwezi ona bila mwangaza wako/ Mja wako Niko chini ya miguu yako/ Naomba uninusuru na haya...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
wana JamiiForum, hivi na Baridi hili bado kuna wachawi wanapaa uchi?[emoji23][emoji23][emoji23]
1 Reactions
5 Replies
522 Views
Matuga ni kijana kutoka kijijini, alianza hustle zake baada ya kumaliza darasa la 12. Aliuza mazao na kuweka pesa mpaka alipofanikiwa kupata nauli na hela kidogo ya kujikimu alikwenda Afrika ya...
6 Reactions
10 Replies
1K Views
Na Beka Mfaume [The Greatest] MKUFU WA SHANI Rika lake lilionekana kutozidi miaka arobaini. Alikuwa akiteremka kwa haraka sehemu ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu habalini za jioni kwa wote mlioko jukwaani hongereni kwa kazi ya kulijenga taifa...nimenzisha uzi huu spesho kwa Madj's wote walio wahi kuwa katika kazi hii na watakao penda na ambao...
1 Reactions
6 Replies
748 Views
Kwenu Azam tv, azam two! Kiuchache tu nisiwachoshe wadau wenzangu na wafuatiliaji wa Osman/Ottoman Empire, inayofuatiliwa na watu wengi. Ombi langu kwenu Azam tv/Azam two, tunaomba...
9 Reactions
41 Replies
6K Views
Ukiwa mfanyabiashara, unaambiwa hata uwezo wako wa kufikiria utumie kwenye kufikiria ni kwa namna gani utaweza kuingiza pesa zaidi ya unavyoingiza kipindi hicho. Yeah! Ndiyo maana halisi ya kuwa...
9 Reactions
11 Replies
3K Views
Nani anaikumbuka hii movie, nadhani ni ya miaka ya 80s au 70s, plot ni kwamba, wanajeshi wa kizungu wana kwenda mkomboa, jamaa mmoja, huyo jamaa ni Mwafrika nadhani ni alikua politician, walipo...
0 Reactions
0 Replies
493 Views
Habari wana JF Kuna nyimbo fulani nimesahau jina na mwanamziki pia. Ni ya zamani ila sio sana nakumbuka baadhi ya maneno, nitayaandika hapa chini Maneno nitakayoandika ameimba mwanaume (mbaba...
1 Reactions
8 Replies
800 Views
Nilikua siikubali Peaky blinders...Ila nkaicheck imetisha Sana ...anyways nshamaliza seasons 5 ...nasaka ya 6. Toa maoni yako.[emoji41][emoji41]
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Mimi naitwa Telo nilizaliwa huko Kigoma, Kasulu maeneo ya kumsenga miaka 60 iliopita. Elimu yangu ni ya darasa la nne, ijapokuwa kiuhalisia elimu ilinipiga sandakalawe. Maisha huko Kasulu...
11 Reactions
62 Replies
7K Views
Kawimbo katamu kana ujumbe mzuriiiii nimekaelewa.
0 Reactions
3 Replies
626 Views
Back
Top Bottom