Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Chelsea wamefufua nia yao ya kumnunua mlinzi wa Sevilla ya Ufaransa Jules Kounde, 23, baada ya Manchester City kuamua kutomuuza mlinzi wa Uholanzi Nathan Ake, 27 kwa timu ya Thomas Tuchel...
3 Reactions
4 Replies
778 Views
Mimi ni mpenzi wa Azam Tv kwa ujumla wake ila yapo mambo ambayo nadhani bado ipo fursa ya kuboresha zaidi. Kwanza niwashukuru Azam TV kwa kuboresha movie za ndani. 1. Waboreshe wigo wa kuchagua...
2 Reactions
1 Replies
899 Views
Siku Fid Q akiimba ngoma kali kuiizidi hii Professional naomba mnishtue...Hii ngoma level nyingine kabisaaa[emoji119][emoji119][emoji119]
5 Reactions
83 Replies
7K Views
Habari Wana jukwaa, Nimejaribu kutafuta series ya the duo bila mafanikio ni Korean series ya pori Nimeingia sites kama nkiri, bila mafanikio, kwa mwenye anayejua site au njia rahisi ya kuipata...
0 Reactions
1 Replies
607 Views
Nafikiri kati ya animations bora kutoka mwaka hii, hii namba moja. Story yake, waigiza sauti na action zote ni za kiwango cha juu. Kitendo cha kumtumia binti mweusi ni safi sana. Hizi vitu huwa...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Nadhani aina ya music wa dansi wa Sasa hautengenezi kizazi Kipya na Hata hao Wasanii wa kufokafoka wanatoka Kwa Juhudi zao na sio kwamba wanatengenezwa kama ilivyokuwa THT.
0 Reactions
0 Replies
703 Views
Jana nilicheki hii movie. Ina actions nzuri, lakini mambo mengi ni kama yaleyale na story haina jipya. Ila kuna sehemu nilisikia kama wanaongea Kiswahili. Pale wameingia kwenye soko la magendo la...
3 Reactions
11 Replies
757 Views
Wadau wa betting watakua wamenielewa. Kuna mtu aliwai kununua odds za namna hii na kwakua alikua hajui kubet, akaomba nimsaidie. Alinunua mechi mbili zikiwa na matokeo ya 2-1 & 2-0. Baada ya mechi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wimbo wa Fid q ft taz _walk it off ni wimbo ambao umetoka miaka 6 iliyopita Lakini huu wimbo haupewi airtime sana kama wimbo bora wa hip hop mda wote(according to me) ukichek jins fid alivyofloo...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Kwa wale wenye umri umeensa kidogo Nakumbukia ukumbu wa Agip Motel miaka ya 80 Huku DJ akirusha hewani nyimbo ya Lionel Richie-All Night Long
3 Reactions
26 Replies
10K Views
Wadau hapa Mbeya Jijini huwa mnaenda wapi? Mi mgeni naona pamekaa hovyo hovyo tuu sijui hata pa kuanzia. Please advice!
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Kama wewe ni mpenzi wa comedian basi sizani utashindwa kumjua gwiji wa vichekesho Rowan atkinson maarufu kama Mr bean Sasa Mzee amekuja na hii short series inaitwa man Vs bee humo Luna vituko na...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwa upande wangu T-bagwell ndio alinivutia Sana namna alivyocheza kuanzia season 1 mpaka ya 4.zile swaga zake anazofanya akiwa anataka kitu muhimu alikuwa ananichekesha Sana, Jamaa alikuwa...
12 Reactions
224 Replies
25K Views
Na : ATHUMANI RUVULY Binti mmoja ambaye alitokea katika Familia ya kimasikini sana, alifanikiwa kusoma kwa shida mpaka kufanikiwa kuwa mwanasheria. Alipata kazi nzuri, akaishi katika nyumba nzuri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naelewa hii mada imeongelewa sana ila naomba nije kwa namna nyingine Najua naeza nikawa naandika kitu ambacho labda kishapitwa na muda kutokana na serikali yenyewe pamoja na watu wake kuliweka...
0 Reactions
0 Replies
652 Views
Sauti yako imekuwa ikijirudia kila Mara ubongoni mwangu pale ulipotaja majina kama mrushaka, kayanga kaisho na mengine yaliyokuwa yakiwakirisha miji ya huko kwenu wilayani Karagwe. We siyo ndugu...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Huu wimbo nimeupata ukiwa hivi nusu nahitaji wote, Tafadhali mwenye nao Naomba anisaidie hapa. Shukrani kwa atakaenisaidia
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Maisha ni safari ndefu yenye Kila aina ya matukio yafurahishayo na kuhuzunisha pia.Miaka ya mwanzoni mwa 2000s nimecheza Sana mziki hapo Darwest.Sasa hivi sipo dar na sitegemei kuishi huko tena...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama umechoshwa na takaka za betting, umbea na siasa, this station is suitable for you. ni full musics, 24/7. iko poa sana. Uzi tayari.
1 Reactions
3 Replies
759 Views
Katika movie za kibongo ambazo binafsi zilinikonga roho ni hii sema ni movie ambayo haiongelewi saaana ukiaangalia uta-enjoy nakama si mtu wa kuelewa haraka pia itakuchanganya , naweza sema ni...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom