Nyimbo za kabila lipi unazozikubali?

Nyimbo za kabila lipi unazozikubali?

Analogia Malenga

Platinum Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,292
Reaction score
10,842
Tanzania ni nchi yenye makabila takribani 120, Makabila mengi kati ya hayo ni wabantu ambao kimsingi wanapenda sana kufanya muziki na kuimba.

Kama ilivyo kwa vitu vingine, ni kawaida kwa mmoja kufanya vizuri kuliko mwingine. Kwa hiyo ni wazi kuwa katika nyimbo za makabila kuna makabila unazikubali nyimbo zake hata kama wewe sio wa kabila hilo.

Je, nyimbo za kabila lipi ambazo unapenda kuzisikiliza hata kama sio kabila lako?
 
Hakuna hata nyimbo nazozikubali kutoka kwenye kabila.
 
Kwa watani wangu wajaluo, nilipo kuwa mara mlijitaidi sana ingawa wachezaji wanaviuno vigumu, kama omena
 
Wasafwa: Awilo kidume cha mbeya, Wa Mwiduka
Wasukuma: Bhudagala, Nyakabaya, Madebe mwajinasa, Kado chiza, Nyanda lunduma, Kidomela, n.k
Kiukweli wasukuma wanajua kwa nyimbo za kikabila wanaongoza[emoji122] nawakubali sana hata kama mara nyingi sielewagi wanachoimba.
 
Wasafwa: Awilo kidume cha mbeya, Wa Mwiduka
Wasukuma: Bhudagala, Nyakabaya, Madebe mwajinasa, Kado chiza, Nyanda lunduma, Kidomela, n.k
Kiukweli wasukuma wanajua kwa nyimbo za kikabila wanaongoza[emoji122] nawakubali sana hata kama mara nyingi sielewagi wanachoimba.

Ongezea na Ngelela Mwanashilunguja,Iganza Sumbi.
 
Kuna ngoma fulani ya Wagogo, yaani nai-feel ile sana!!
 
Back
Top Bottom