Mtukutu Mkuu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 1,173
- 1,488
Ni Moja ya series Bora kabisa Kwa mwaka huu humu ndani kuna visa na mikasa mingi na mauji ya kutisha
Humu ndani kuna yule mchizi aliyecheza kings man ,taron egerton
Bwana Jimmy Keene(taron egerton) yeye ni mtu WA biashara haramu drug dealer na pia anauza silaha Kwa njia haramu kiufupi jamaa ni mafia Sana Ila ni smart mno uwezi mzania basi siku Moja katoka hoteli akaopoa mrembo mmoja
Ikabidi apitishe naye usiku asubuhi yake maofsa wa usalama wanamkata Kwa tuhumu nyingi Sana ikiwemo uuzaji wa dawa za kulevya basi mwamba anaenda jela baada ya kupigwa mvua 10 yaani asote miaka 10 jela ASEE[emoji33]
Basi anatokea agent Lauren kutoka FBI na Mr beamount wanampa Offa mchizi kama ataweza kumshawishi muuaji ambaye akili zake azijakaa Sawa amwambia ni wapi ili miili mingine aliyofukia ya wanawake anaowaua bila sababu ? Na akiweza kumshawishi atakuwa humu mwamba wewe liwalo na liwe
Unajua ilikuwaje je mchizi akiweza kumshawishi Larry aseme miili mingine ya mabinti aliyowaua ameizika wapi
naipa rate ya 9/10 series Kali Sana
Humu ndani kuna yule mchizi aliyecheza kings man ,taron egerton
Bwana Jimmy Keene(taron egerton) yeye ni mtu WA biashara haramu drug dealer na pia anauza silaha Kwa njia haramu kiufupi jamaa ni mafia Sana Ila ni smart mno uwezi mzania basi siku Moja katoka hoteli akaopoa mrembo mmoja
Ikabidi apitishe naye usiku asubuhi yake maofsa wa usalama wanamkata Kwa tuhumu nyingi Sana ikiwemo uuzaji wa dawa za kulevya basi mwamba anaenda jela baada ya kupigwa mvua 10 yaani asote miaka 10 jela ASEE[emoji33]
Basi anatokea agent Lauren kutoka FBI na Mr beamount wanampa Offa mchizi kama ataweza kumshawishi muuaji ambaye akili zake azijakaa Sawa amwambia ni wapi ili miili mingine aliyofukia ya wanawake anaowaua bila sababu ? Na akiweza kumshawishi atakuwa humu mwamba wewe liwalo na liwe
Unajua ilikuwaje je mchizi akiweza kumshawishi Larry aseme miili mingine ya mabinti aliyowaua ameizika wapi
naipa rate ya 9/10 series Kali Sana