Manara tokea ameingia Yanga hakuna alichoongeza wala kupunguza, zaidi zaidi amekuwa akipigwa mifiani na TFF pamoja na kula burn. Pesa za mshahara mnazomlipa bora mkazigawe kwa kina vigelegele...
Ndege ya shirika la ndege la Tanzania ilitua katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam ikitokea nchini jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.Ndege ilisimama mlango ukafunguliwa na...
Na Bishop Hiluka
Yalikuwa yamemfika kooni baada ya kuitafuta haki yake kila mahali na kushindikana, akafikia uamuzi wa kuwaita wazazi wa pande zote mbili ili aweke wazi kuhusu msimamo wake juu ya...
GENGE
EP1
JULAI 15, 1991 DIAMOND JUBILEE
SAUTI KUBWA YA MUZIKI ilisikika kutoka katika ukumbi huo maarufu jijini Dar es salaam, katika kitongoji maarufu cha Upanga. Ni harusi ya kukata na...
Sikia hii!
UTANGULIZI
Huyu bibie ni classmate o level miaka hiyoo, nilianza kufahamiana naye kipind nipo 4m III darasa la science A.
Tulifahamiana ghafla tu mara tukawa marafiki wakubwa, huyu...
Mzuka wanajamvi?
Sina mengi ila nilitaka kushare haka kataarifa kafupi niliko nako kuhusu hii movie ya Action, Crime na Drama.
Kuna yule mtoto katika hii filamu anatumia jina la Vee ambaye mama...
Tukio la kutengeneza huu wimbo ni moja ya matukio adhimu sana kupata kutokea. Kuanzia utunzi,uimbaji na uchakati wa vyombo husika. Unanikumbusha ule wimbo wa kama Japenga.....nao ulikuwa mmoja ya...
habari wapemdwa mimi ni kjana wa miaka 20 napenda kufanya music production na kumake beats za aina tofauti za mziki bado najifunza ndo nina miezi 2 tu hapa hebu sikiliza kama naweza au niongeze...
jamani hii cartoon ya super man inayokuja kwa sasa inachochea ushoga kwenye cartoon,dc comics wameona cartoon yao inapendwa sana world wide kwa hiyo wameamua kwa sasa kutangaza ushoga live kupitia...
Kama unapenda series kali zisizo na mbwembwe za hovyo hovyo basi fanya kuitafuta hii series ya Ki-British inayoitwa 'Suspicion'. Kabla sijakupa premise yake nataka nikupe sifa zake mapema ili...
Hello wakuu, mara nyingi wasanii wanaohit ndio tunaamini wanajua, kumbe wengine wanabebwa na labels, marketing, algorithms, nk. Nk.
Makampuni kama Universal, Sony, nk. Nk. Yanaweza kupush mimbo...
The Woman King - Official Trailer
Bow down to the most exceptional female warrior to ever live
The Woman King is the remarkable story of the Agojie, the all-female unit of warriors who protected...
Leonard Mbotella
Leonard "Mambo“ Mbotela ni mtangazaji mashuhuri wa redio nchini Kenya. Amejulikana kote nchini kutokana na huduma yake ya zaidi ya miaka 40 tangu 1964. Alikuwa mtangazaji wa...
Kuna wakati mwingine kuna baadhi ya game zipo kwasababu ya kukupotezea muda wako
Nyingine zipo ili kukomaza akili yako juu ya mambo mbalimbali
Ila hii game ya megapolis ni elimu tosha juu ya...
Basi bhana kunasiku nilikuwa nimetoka shule. Nimwezi wa kumi na tumemaliza kidato cha nne na nilikuwa na raha sana.
Basi bhana kufika Moshi Mjini nilikuwa na dada alikuja na taxi tukatuwa Moshi...
Habari wapendwa,
Leo nimekuja upande huu kwa ndugu zangu wafuatiliaji wa Bollywood au tasnia ya sinema india.
Nimekuja na list ya mastaa bora wa filamu kwa muda wote pale india kaskazini, ambapo...
Habari zenu...
Nimejikuta nimedondokea ktk instagram trends na kukuta kuna huyu mmasai wa tanzania anaitwa Kili Paul na mdogo wake wa kike Neema...
Wamekua maarufu sana ktk mitandao ya kijamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.