Matangazo yamezidi, ni kero kwenye vituo vya redio

Nkulu wa nchito

JF-Expert Member
Dec 13, 2019
655
887
Hii sasa imekuwa too much ingawa mimi sisaidii kulipa mishahara hao watangazaji wenu na mnatumia hayo matangazo labda kulipa hao watangazaji kiukweli vituo vya radio vya Tanzania vinakera sijajua kwa nchi nyingine kwa sababu sisikilizi vituo vya radio vya nchi nyingine.

Matangazo yamezidi tena siku hizi kuna radio ya ya bwana Big wameweka kabisa automatic zikipita dakika kadhaa tangazo linakuja kwahyo kama kuna kitu kilikuwa kinaongelewa kinakatishwa wanaporud wanaanza tena matangazo mengine unasikiliza radio mpaka unaona kero.

Wanaanzisha mijadala haiishi ni matangazo tu siyo hao tu hata wale wa mawingu nao ni hvyo hvyo ingawa wa mawingu wana unafuu kidogo.

Halafu cha ajabu wanarudia matangazo yaleyale.
 
Mi Radio za bongo nasikiliza mziki tu basi ukiisha Nazima radio.

Kwa mantiki hiyo 24/7 Nasikiliza choice FM 102.5 Dar.

Nikihitaji habari naingia mtandaoni/Social media.

Kusikiliza radio za bongo enzi hizi ni Sawa na kununua gazeti hawana jipya na ubunifu ni ziro.
 
Ngoja niongelee radio inayojulikana niache hizi zamkoani kwangu Kwanza

Radio ya Africa mashariki kipindi cha nyuma ilikuwa vizuri sana mpangilio wa vipindi, watangazaji

Hayo mangoma Kwanza wanayopiga

Ilikuwa napatiaga nyimbo za mbele hit tuseme za duniani kote huko

Simu yangu nilikuwa nikiweka sehemu kwa ajili yamziki ina nyimbo unique nyingi kali sababu yahio radio ila kwa Sasa ni kero

Watangazaji hawana ubunifu m dj ndo usiseme Yani ile radio kwa Sasa ni mbovu ..vipindi asubuhi wale wadada wanasutana wanaongea Kama wanahara Yani daa au Basi tu
 
Nilifungulia efm duh ujinga Sana nikacheki wasaf Hali nayo iko hvyo wakina zembwel eti yey anataka kusomewa hbr anazo taka kusikiaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nilifungulia efm duh ujinga Sana nikacheki wasaf Hali nayo iko hvyo wakina zembwel eti yey anataka kusomewa hbr anazo taka kusikiaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Utakuta kipindi kimoja kina watangazaji saba au watano kila mmoja anataka kuongea basi ni makelele tu hyo ndyo inapelekea watangazaji kushindwa kuwapa mishahara kwa hyo inabid wapige matangazo mengi
 
Utangazaji wa siku hizi maneno yamekwisha kila wakati "unaweza ikaweza naweza" msikilize huyu
 
Back
Top Bottom