Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

1 Reactions
1 Replies
407 Views
Top ten Bongo movie series of all time. Licha ya tasnia ya bongo movie kukubwa na changamoto nyingi kama ukosefu wa soko, badget ndogo ya kutengenezea film, Ukosefu wa watu wapambanaji na...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kila mtu anajua leo hii kuwa Wasafi Tv na Wasafi FM ndiyo media ambayo zimepata nguvu ya kushabikiwa kwa muda mfupi na kupata watazamaji na wasikilizaji wengi. Huenda labda ushawishi huo umekuja...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Hawa viumbe kila mmoja alikuwa Bingwa kwa Ulingo wake, Mike tyson alisumbua ulingo wa boxing na kujizolea umaarufu kwa kushinda mechi 50 (KO 44). Bruce Lee alisumbua ulingo wa martial arts...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
KIKOKOTOO David Ngocho Samson UTANGULIZI Hakuna aliyejua sababu ya madhila yaliyomkumba mstaafu, tena ambaye enzi za ujana na maisha yake ya Kazi, alikuwa mtu aliyekuwa na nafasi nzuri, na...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Angalizo: Nchi inayotajwa kama Nchi yetu, haina uhusiano wowote na nchi ya Tanzania. Sehemu ya Kwanza Komandoo Mako alikimbia akiwa kashika kidege kidogo kisichokuwa na rubani, baada ya umbali...
2 Reactions
25 Replies
6K Views
Matamasha makubwa ya wasanii tuliyokuwa tunayaona miaka ya nyuma kama Fiesta na mengine ya Vituo vya Redio naona yanazidi kupoteza mvuto, shida nini wadau? Matamasha haya mengi imekuwa kiingilio...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
..Nyimbo zenyewe ni hizi hapa chini. Cc Mohamed Said, Kichuguu
1 Reactions
9 Replies
2K Views
SULUHU CONCERT 2022 Tamasha kubwa maalumu lililoandaliwa na Msanii Lady Jaydee suluhuconcert kufanyika Tarehe 12 November 2022 Hyatt Regency Dar es salaam. #NaSimamaNaMama
1 Reactions
9 Replies
842 Views
Msanii Omary Nyembo aka Ommy Dimpoz ametangaza kuachia album yake leo Ijumaa Nov 4, 2022 ambapo katika kuizundua amesema Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ataongoza shughuli hiyo "Tuna-launch rasmi...
3 Reactions
6 Replies
969 Views
Mtunzi Juma Hiza Sehemu ya 01. Huu ni mkasa ambao sitoweza kuusahau katika maisha yangu mpaka siku nitakayokufa. Kwa jina naitwa Stella ni mtoto wa pili na mwisho kuzaliwa katika familia yetu...
12 Reactions
67 Replies
18K Views
HUYU NDIE MWANAUME[emoji67] 1. Anapenda maisha mazuri na anaamini kuyapata ni kufanyakazi kwa bidii 2. Anapenda mwanamke mwenye akili na utashi wa maisha ili amsaidie kutimiza ndoto zake na sio...
2 Reactions
4 Replies
7K Views
MFUASI 01 * * Usiku ni rafiki wa giza! Naam. Giza hupambwa na nyota! Ndivyo. Lakini usiku huu haupo hivyo! Giza limenuna hakuna pambo za nyota wala nuru ya mwezi. Wingu zito limeteka utawala wa...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
- "MY AMERICAN EXPERIENCE" kitabu changu kipya ambacho baadhi ya chapters zake zilisomwa sana humu JF, sasa kipo tayari kutakuwa na uzinduzi rasmi mwisho wa mwezi huu, na nitatangaza namna ya...
35 Reactions
172 Replies
18K Views
Wadau, hiv kuna mtu ana uzoef na M- KOPA(wakopeshaji wa TV) Wanaaminika??
0 Reactions
1 Replies
383 Views
Gwiji wa muziki wa Zaire hayati franco luambo makiadi aliwahi kuwa na mdogo wake wa kiume aliyeitwa Bavon Marie ambaye alikuwa mwanamuziki kama kaka yake,ila yeye anatajwa kuwa aliimba nyimbo za...
14 Reactions
93 Replies
18K Views
Habari kwa wakuu wote na wapenzi wa mziki wa reggae. Lengo la uzi huu ni kukutatisha nakukusanya nyimbo zote na vionjo ya mapigo/mdundo wa reggae. Hapa nitaanza kwa kuweka nyimbo...
2 Reactions
45 Replies
9K Views
Nikisikiliza vizuri kiitikio cha huu wimbo kama kuna wimbo unanijia akilini wa miaka ya kama 2005 au 2007 ila siukumbuki ni wimbo wa nani na unaitwaje,. Tena bila ya shaka utakuwa umefanana kila...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Bosi wa lebo ya Konde Music, Rajab Abdul ‘Harmonize’ leo Jumamosi Novemba 5, 2022 amethibitisha taarifa za kuachana na msanii wake Angelina Samson ‘Anjella’. Angela alitambulishwa kwenye lebo...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Tupeane series za kuangalia nzur pls za action/upepelezi/ugaidi Naomba zinazofanania na hizi Homeland Prison break Lastship 24 Naomba anayejua series zinazoelekea kma hizo pls nataka kuangalia...
3 Reactions
61 Replies
10K Views
Back
Top Bottom