MFUASI
01
* *
Usiku ni rafiki wa giza! Naam. Giza hupambwa na nyota! Ndivyo. Lakini usiku huu haupo hivyo! Giza limenuna hakuna pambo za nyota wala nuru ya mwezi. Wingu zito limeteka utawala wa...
- "MY AMERICAN EXPERIENCE" kitabu changu kipya ambacho baadhi ya chapters zake zilisomwa sana humu JF, sasa kipo tayari kutakuwa na uzinduzi rasmi mwisho wa mwezi huu, na nitatangaza namna ya...
Gwiji wa muziki wa Zaire hayati franco luambo makiadi aliwahi kuwa na mdogo wake wa kiume aliyeitwa Bavon Marie ambaye alikuwa mwanamuziki kama kaka yake,ila yeye anatajwa kuwa aliimba nyimbo za...
Habari kwa wakuu wote na wapenzi wa mziki wa reggae.
Lengo la uzi huu ni kukutatisha nakukusanya nyimbo zote na vionjo ya mapigo/mdundo wa reggae.
Hapa nitaanza kwa kuweka nyimbo...
Nikisikiliza vizuri kiitikio cha huu wimbo kama kuna wimbo unanijia akilini wa miaka ya kama 2005 au 2007 ila siukumbuki ni wimbo wa nani na unaitwaje,.
Tena bila ya shaka utakuwa umefanana kila...
Bosi wa lebo ya Konde Music, Rajab Abdul ‘Harmonize’ leo Jumamosi Novemba 5, 2022 amethibitisha taarifa za kuachana na msanii wake Angelina Samson ‘Anjella’.
Angela alitambulishwa kwenye lebo...
Tupeane series za kuangalia nzur pls za action/upepelezi/ugaidi
Naomba zinazofanania na hizi
Homeland
Prison break
Lastship
24
Naomba anayejua series zinazoelekea kma hizo pls nataka kuangalia...
Kwema wakuu,
Hii thread ni special kwa wale wana JF wenzangu wanaopenda movie mbali mbali za kizungu, kihindi na kichina. Lakini kwa bahati mbaya wamesahau majina ya movie husika, pamoja na wale...
Marioo achana na huu mpango wa kumshirikisha Mondi.
Huyu jamaa ukimshirikisha tuu umekwisha, ngoma itahit ndio lakini hautakuja utoe ngoma ingine ikafanya poa sokoni.
Ni wewe pekee kwa sasa...
Rappers that have been influenced by Tupac:
Kendrick Lamar
Dax
Eminem
Kanye West
Siddhu Musewala
Drake
Nas
J. Cole
50 Cent
DMX
Nipsey Hussle
Freddie
Gibbs
Polo G
Meek Mill
The Game and more...
Kituo cha Radio cha Nigeria Info 99.3 kimeripoti kwamba Polisi wa Lagos wamewakamata Wasaidizi wa kazi za nyumbani wa Msanii Davido na wanaendelea kuwahoji kufuatia kifo cha Mtoto wa Mwimbaji huyo...
kuna wimbo wa zamani umeimbwa na mwanamama akiimba '' sugar daddy sugar daddy...heri kufa masikini kuliko kusimangiwa heri kufa masikini kuliko kusimangiwa na walimwengu ee, tamaa iliuwa...
Habari wakuu,
Naomba kunanza na Track hii ya Fid Q ft Juma nature, SIRI YA MTUNGI.
Naandika mistari ya hii ngoma nitakapoishia atendelea mwingine hadi track kuisha, kisha mkuu mwingine anaweka...
Nimeangalia clip yake ya maigizo inayoitwa(kazi na ngono)katika igizo hili limeanza vema lakini ktk kumaliza nadhani lina utata. Joti aliigiza kama binti mwenye elimu ya digrii anayetafuta kazi...
Kitu kingine ukiachana na kuongea ukweli kuhusu wayahudi, Kanye amedai kuwa wasanii wengi walio Marekani ni waoga sana kiasi kwamba hawana sauti juu ya haya makampuni makubwa. Miaka miwili...
Hii tathmini nimeifanya kwa muda mrefu sana, takribani miaka 20 sasa. Nimejiridhisha kabisa baada ya miziki ya dini basi mziki unaofuata ni Hip Hop.
Hip Hop ni jina lenye maana kubwa, pana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.