Bye bye Marioo

Bye bye Marioo

Kingsmann

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
5,356
Reaction score
20,132
Marioo achana na huu mpango wa kumshirikisha Mondi.

Huyu jamaa ukimshirikisha tuu umekwisha, ngoma itahit ndio lakini hautakuja utoe ngoma ingine ikafanya poa sokoni.

Ni wewe pekee kwa sasa unayetoa hit after hit, hakuna mwingine, sasa naona unaenda kujiloga.

20221101_113701.jpg
 
Hawa label zao zinafanya kazi na Warner Music, nikimaanisha Ziiki Media na Africori kwa hiyo inamake sense kwa hii collabo. Pia inabidi mondinafanye collabo na wasanii wadogo ili numbers za digital platforms zikue kwa sababu kimziki ni kama kashapotea. Kwa hiyo zile $5m inabidi zizae la sivyo mkataba utampin mpaka akome.
 
Mawazo mgaondo hayoo..
Harmonaz
Mboso
Jux
Fid q
Zuchu
Davido
Profess jay
Mbonaa wt hao wasipoteee.. km Mario ataonaa kutoaa ngoma na mondi ndio kamaliza kila ktu na kuridhikaa bac itakuwa hvyoo.lkn km anaendelezaa harakati zakee Badoo atakimbizaa sanaa,,ucwaze uchawi uchawi ingali bd kijana ww
 
Mawazo mgaondo hayoo..
Harmonaz
Mboso
Jux
Fid q
Zuchu
Davido
Profess jay
Mbonaa wt hao wasipoteee.. km Mario ataonaa kutoaa ngoma na mondi ndio kamaliza kila ktu na kuridhikaa bac itakuwa hvyoo.lkn km anaendelezaa harakati zakee Badoo atakimbizaa sanaa,,ucwaze uchawi uchawi ingali bd kijana ww
Hao wote wako wapi now?

Marioo kwa sasa alipaswa aachane na collabo za ndani ahamie nje kwa akina Asake, Joe Boy, Rema, Fire Boy, Victony, Kizz Daniel nk.
 
Haha nafikiri yuko sahihi kwa mantiki kwamba atakuwa amefikia kilele ambacho hakuna kilele kingine.
Usisahau sikio halizidi kichwa
Kumbuka masikio la wanyama karibu wote yamezidi vichwa vyao.

Usikariri maisha.
 
Hao wote wako wapi now?

Marioo kwa sasa alipaswa aachane na collabo za ndani ahamie nje kwa akina Asake, Joe Boy, Rema, Fire Boy, Victony, Kizz Daniel nk.
Kwani mario na mondi nani mkubwa tuanzie hapo kwanza
 
Marioo achana na huu mpango wa kumshirikisha Mondi.

Huyu jamaa ukimshirikisha tuu umekwisha, ngoma itahit ndio lakini hautakuja utoe ngoma ingine ikafanya poa sokoni.

Ni wewe pekee kwa sasa unayetoa hit after hit, hakuna mwingine, sasa naona unaenda kujiloga.

View attachment 2403811
Mond ni mchawi uwa anatembelea nyota za watu ndo maana akiona upcoming artists ata wasanii wakubwa yeyote katoa ngoma kali au yupo kwenye pick lazima anamuwai kutoa ngoma naye na baada ya hapo uyo artist ndo basi tena mifano ni wasanii wa naija kama vile Teni, kcee, mr flavour, nk
 
Mond ni mchawi uwa anatembelea nyota za watu ndo maana akiona upcoming artists ata wasanii wakubwa yeyote katoa ngoma kali au yupo kwenye pick lazima anamuwai kutoa ngoma naye na baada ya hapo uyo artist ndo basi tena mifano ni wasanii wa naija kama vile Teni, kcee, mr flavour , nk
Mashabiki maandazi wanajifanya kuziba masikio lakini huu ndio ukweli..
 
Hao wote wako wapi now?

Marioo kwa sasa alipaswa aachane na collabo za ndani ahamie nje kwa akina Asake, Joe Boy, Rema, Fire Boy, Victony, Kizz Daniel nk.
Huyo Asake mumeanza kumtajataja baada ya ishu ua Mond
 
HOJA MFU.
HAINA HOJA.
HAINA MOFANO.
HAINA MASHIKO.
YAANI KWA KIFUPI NI YA HOVYO.

Marioo ndio msanii mkubwa Kwa sasa Tanzania.
Kwa kigezo cha Heat songs.
Na kujua kuimba.
 
Mond ni mchawi uwa anatembelea nyota za watu ndo maana akiona upcoming artists ata wasanii wakubwa yeyote katoa ngoma kali au yupo kwenye pick lazima anamuwai kutoa ngoma naye na baada ya hapo uyo artist ndo basi tena mifano ni wasanii wa naija kama vile Teni, kcee, mr flavour, nk
Mbona haumtaji davido?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom