Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 1,815
- 3,637
Habari wakuu,
Naomba kunanza na Track hii ya Fid Q ft Juma nature, SIRI YA MTUNGI.
Naandika mistari ya hii ngoma nitakapoishia atendelea mwingine hadi track kuisha, kisha mkuu mwingine anaweka track tunapita nayo.
Song: Siri ya mtungi
Fid Q ft Juma Nature
Verse no: 1
Nilipotoka mbali na ninaheshimu nilipo//Skua na umuhimu kihivyo//stimu zikanipa elimu ya BIKO.
Kimaandiko,kimistari fans wana-sream nik-rap//skuamini kama nnaZari hadi nilipo ibuni Hip Hop
Wanapagawa na baadhi ya mambo nayoyajua//pia nina uwezo kufanya mpaka madawa yakaugua.
Wanapagawa na nyimbo ngumu hawa team mabitozi//achana na power window sjui rimz za dimpoz
Haileti bingo mshiko star ishi simple//sanaa iko hivyo sometimes hukataa kukaa ulipo
Wanao dharau hujiletea matatizo//hawajui kama wadau hupendelea kukuona hivyo?
Bonge la star donge la njaa hauna kitu//jikombe ugongwe mtaa ukuone hauna inshu.
Ukishindwa kujiandaa// jiandae kushindwa mjinga utaachwa unashangaa kumuona martin kadinda
Usmart anaotinga//majumba mandinga
Je hizi tracks za harakati ni ujinga?
Naomba kunanza na Track hii ya Fid Q ft Juma nature, SIRI YA MTUNGI.
Naandika mistari ya hii ngoma nitakapoishia atendelea mwingine hadi track kuisha, kisha mkuu mwingine anaweka track tunapita nayo.
Song: Siri ya mtungi
Fid Q ft Juma Nature
Verse no: 1
Nilipotoka mbali na ninaheshimu nilipo//Skua na umuhimu kihivyo//stimu zikanipa elimu ya BIKO.
Kimaandiko,kimistari fans wana-sream nik-rap//skuamini kama nnaZari hadi nilipo ibuni Hip Hop
Wanapagawa na baadhi ya mambo nayoyajua//pia nina uwezo kufanya mpaka madawa yakaugua.
Wanapagawa na nyimbo ngumu hawa team mabitozi//achana na power window sjui rimz za dimpoz
Haileti bingo mshiko star ishi simple//sanaa iko hivyo sometimes hukataa kukaa ulipo
Wanao dharau hujiletea matatizo//hawajui kama wadau hupendelea kukuona hivyo?
Bonge la star donge la njaa hauna kitu//jikombe ugongwe mtaa ukuone hauna inshu.
Ukishindwa kujiandaa// jiandae kushindwa mjinga utaachwa unashangaa kumuona martin kadinda
Usmart anaotinga//majumba mandinga
Je hizi tracks za harakati ni ujinga?