Hii movie ni mashine

martial jb

JF-Expert Member
Oct 21, 2021
864
1,456
Habari wakuu,

Kuna movie inaitwa 'London Has Fallen' hiki chuma ni kikali hakuna mfano. In short hii ni movie best kwangu.

london-has-fallen-1200-1200-675-675-crop-000000.jpg
 
Izo movie ni kama sequel zipo jumla tatu. Inaanza:

Olympus has fallen
London has fallen
Angel has fallen

Zote yupo uyo Butler na Morgan.

Hafu kuna moja kama inafuatana nazo inaitwa White House Down.

izo movie kali sana.
 
Izo movie ni kama sequel zipo jumla tatu. Inaanza:

Olympus has fallen
London has fallen
Angel has fallen

Zote yupo uyo Butler na Morgan.

Hafu kuna moja kama inafuatana nazo inaitwa White House Down.

izo movie kali sana.
Yeah mkuu ila london has fallen ni mkwaju
 
Elezea bas inahusu nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Viongozi wakubwa wa nchi kubwa kibwa walienda London kulikua na msiba wa PM wa British, sasa kuna group la terrorists wakawa wameplan kuwamaliza. Mmoja wao alikua rais wa USA. Sasa mlinzi mkuu secret service ndio steringi wetu akawa anamprotect presidaa uko London.

Umo kuna mkono, bunduki, magari, chopa. Mabomu, yaani balaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom