Kiberiti - Fid Q Ft Saida Karoli

Kiberiti - Fid Q Ft Saida Karoli

Lyrics Master

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2016
Posts
482
Reaction score
681
Haueleweki hata uki-shine kwa punchlines on Facebook/
Haiwi-fine ka' Rayvan, we' fake tu/
Sikuoni B.E.T au MTV wak-play tunes/
Miaka nenda we' msanii, MC una play tu/
Makida, we' sio king kama Kiba/
Sio Yao Ming kwenye ring/
Mistari mingi zaidi ya zebra? (Zaidi ya zebra!)
Unazingua nigga, haujajijua nigga/
Umeanguka pua, bishoo hauwezi kuwa Jigga/
Rent mwezi ujao na haujalipa school fees/
Ya mwanao, unaumiza kichwa Uwe Q-Fid/
'Til now hauioni future, we' stupid/
Haujapiga bao na kutwa unawaza groupies?/
Pengine ni nuksi umejiletea au chuki umejijengea/
Haukumbuki ulipotokea bro (bro)/
Wabaya mauzushi, wanayachochea haushtuki ushapotea/
Wakushi wanakutetea bro/
Unakosea bro, ni kweli hauna spear bro/
Ku-play fair, ni kuwachezea ikatokea droo/
Sikutegemea bro, hatuwezi hata kuonea bro
Tushajionea ulivyo mlevi, ukaikosea show

CHORUS: Saida Karoli.

Kiberiti, nakuona unavyoniwashia moto mie (aye)
Kiberiti, nakuona unavyoniwashia moto mie (aye)
Ayi, ma-mama, kiberiti
Ayi, ma-mama

VERSE 02:
Nikiwa alone in my room, sometimes I stare at the door
And in the back of my mind, naziita hisia hebu njoo
Zinaingia zinaniambia hii dunia ni soo
Haiko sweet kama dove, I see, I need love

Tazizo lako hautaki kuuza maneno/
Legeza ka' wenzako acha kutukuza misemo(kutukuza misemo)/
Sheria ni yako ila isiuache msumeno/
Ukijikuna tako, usikate kucha kwa meno/
Ongea usikike au kaa kimya usidharaulike/
Au utupishe na jina lisahaulike/
Tulazimike kuzima ili itulipe/
Gwajima tumuite aje kukupima heshima ya Bashite/
Nje ya town, show huwa zina cloud ya kiwaki/
Kaza crown ibaki, ukikaza sana hawataki/
Tunajua una uwezo wa juu na kismati/
Na haujawahi kupigwa bu! Basi unajiona Tupaaaaac/
Kabla ya rotten brothers ulikua na chepe/
Two nature boys ndiko ulikoanza makeke/
Mwaka huu, mwaka we mwaka/
Ikakuweka juu ikawa Q hakuna asiyemtaka,/
well Lini uta-retire urudi kuuza mtumba lango?/
Una roho mbaya, hadi leo haujamkumbuka Rado/
We' sio kichwa, we' unaweza fichwa/
Ikichorwa hip hop, siioni sura yako picha/
 
wimbo wa majungu, wimbo mipasho, ni taarabu ktk namna ya yoo yoo yoo... mistali hii akiimba isha au mzee yusuf nazani wimbo utafana sana... kwa kulitambua hilo ameona kibwagizo ampe saida...

moja ya wimbo wa hovyo ktk nyimbo za fid-q... angeimba ktk style ya twaarab/taarab tusinge sema wimbo wa hovyo, sababu meseji ina jipeleka huko, ndio mahala pake...
 
wimbo wa majungu, wimbo mipasho, ni taarabu ktk namna ya yoo yoo yoo... mistali hii akiimba isha au mzee yusuf nazani wimbo utafana sana... kwa kulitambua hilo ameona kibwagizo ampe saida...

moja ya wimbo wa hovyo ktk nyimbo za fid-q... angeimba ktk style ya twaarab/taarab tusinge sema wimbo wa hovyo, sababu meseji ina jipeleka huko, ndio mahala pake...
Umeelewa kilicho maanishwa lakini?
 
wimbo wa majungu, wimbo mipasho, ni taarabu ktk namna ya yoo yoo yoo... mistali hii akiimba isha au mzee yusuf nazani wimbo utafana sana... kwa kulitambua hilo ameona kibwagizo ampe saida...

moja ya wimbo wa hovyo ktk nyimbo za fid-q... angeimba ktk style ya twaarab/taarab tusinge sema wimbo wa hovyo, sababu meseji ina jipeleka huko, ndio mahala pake...
Bro,
You don't know the source of that song ndio maana umeandika hivi...lakini huu wimbo una message Kali sana
 
weka hapa ulicho elewa
Sio tu nilichoelewa bali maana halisi ilishazungumzwa na mhusika wa wimbo.
Huu wimbo aliutunga kujielekezea mwenyewe kuakisi kejeli na matusi mazito aliyopewa na mashabiki wa Ali kiba mara baada ya kufanya remix ya Fresh na Diamond pamoja na Rayvan.

Katika wimbo huo Diamond alimdiss Kiba hali iliyopelekea ionekane Fid ndio chanzo na kuoga matusi! Zile kejeli ndio alizoziimba humo yaliyomkuta.
 
Sio tu nilichoelewa bali maana halisi ilishazungumzwa na mhusika wa wimbo.
Huu wimbo aliutunga kujielekezea mwenyewe kuakisi kejeli na matusi mazito aliyopewa na mashabiki wa Ali kiba mara baada ya kufanya remix ya Fresh na Diamond pamoja na Rayvan.

Katika wimbo huo Diamond alimdiss Kiba hali iliyopelekea ionekane Fid ndio chanzo na kuoga matusi! Zile kejeli ndio alizoziimba humo yaliyomkuta.
kwahiyo ni mipasho? au sio mipasho?
 
Back
Top Bottom