Rosenchold
Member
- Jul 6, 2021
- 38
- 38
Nawapa hi! members wote wa Jf hasa wana "Entertainment", matumaini yangu muwazima wa afya kabisa kwa wale waliokumbwa na matatizo hapa karibuni hasa hasa moto wa eneo la Kariakoo na matatizo mengine nawaombea kwa m/Mungu awasimamishe tena.
Naomba niende kwenye hoja moja kwa moja, kwa hivi karibuni nimeanza kutumia software ya kutengeneza beats ya FL Studio, kabla ya kuanza nilianza kupitia pitia Tutorial YouTube ili kupata moja mbili na baadhi ya basics.
Nili dedicate muda kiasi chake lakini naona kama mambo hayaendi (my beats aren 't that good ), nilijitahidi kuanza na music theory baada ya kuona mambo ni mengi mno. Nilikuwa napenda sana kutengeneza beats za trap na RnB lakini kwa sasa ninazoweza kuzitengeneza ni za trap na trap soul peke yake.
Channel niliyokuwa natumia kujifunzia ni BusyWorksBeats kwakuwa ni mtu wa kwanza aliyekuwa anafundisha niliyekuwa namuelewa ingawa nilikuwa dummy/beginner 😂😂😂😂.
Nna Plugins zaidi ya 20 za FL Studio lakini najiona nashindwa kuendelea. Kama wewe ni mdau wa muziki nilikuwa naomba mchango wako ni jinsi gani naweza kuendelea nakuwa pro one day😋😋
Naomba niende kwenye hoja moja kwa moja, kwa hivi karibuni nimeanza kutumia software ya kutengeneza beats ya FL Studio, kabla ya kuanza nilianza kupitia pitia Tutorial YouTube ili kupata moja mbili na baadhi ya basics.
Nili dedicate muda kiasi chake lakini naona kama mambo hayaendi (my beats aren 't that good ), nilijitahidi kuanza na music theory baada ya kuona mambo ni mengi mno. Nilikuwa napenda sana kutengeneza beats za trap na RnB lakini kwa sasa ninazoweza kuzitengeneza ni za trap na trap soul peke yake.
Channel niliyokuwa natumia kujifunzia ni BusyWorksBeats kwakuwa ni mtu wa kwanza aliyekuwa anafundisha niliyekuwa namuelewa ingawa nilikuwa dummy/beginner 😂😂😂😂.
Nna Plugins zaidi ya 20 za FL Studio lakini najiona nashindwa kuendelea. Kama wewe ni mdau wa muziki nilikuwa naomba mchango wako ni jinsi gani naweza kuendelea nakuwa pro one day😋😋