Ni huyu msanii wa injili ametokea kunikosha sana na nyimbo zake ila hii NIMEACHILIA ni ya moto sana...inagusa hisia sana za vijana tunayopitia...
Nyimbo ina liwaza, elimisha na inaponya.binafsi...
Bayser, umeelewa kauli ya mkeo kama nilivyo ielewa mimi ?
Mke wa Blue amenukuliwa akisema;
"Mimi namsapoti mume wangu kwasababu tumejenga nyumba nane kupitia muziki, kwahiyo mimi nasapoti sana...
Hapo zamani, kulikuwa na hadithi maarufu katika ulimwengu wa kufikirika wa bala la Westeros, ulimwengu wa series ya "Game of Thrones" iliyo zungumzia Usiku mrefu(the long night) na uwepo wa White...
MALKIA WA KUZIMU..... 01
MTUNZI: LOVI PIUS KIJOGOO
WHATSAP: 0757 238 304.
0622 738 310.
TANGA.
SEHEMU YA KWANZA
Baada ya miaka mingi kupita, bado alizidi kuikumbuka historia Mbaya na Chungu...
Habari zenu wakuu.
Kuna swali nilikuwa najiuliza mara kwa mara hasa nikiona CD za Kikorea zinauzwa kama nyanya mtaani. Nikawa najiuliza hivi wakorea wanapata vipi faida kwenye series zao? Maana...
Kuna mtu aliwahi kuniambia Jina lake ni EDWARD SHEKIONDO lakini akalifanyia usanii akajiita EDDY SHEGGY. Namzungumzia kaka wa Christian Sheggy, mwanamuziki wa zamani wa Orchestra Super Rainbow, na...
SURA YA KWANZA
28/3/1989
Ulikuwa ni msafara wa watu watano, wawili kati yao, pamoja na mimi mwenyewe,
tukiwa ni waandishi wa habari waajiriwa wa kampuni ya Film Tanzania ambayo
ilikuwa ni...
Wakuu habarini za muda huu kama wewe ni mfuatiliaji wa Korean dramas naamini kutakuwa na maneno mawili matatu ya kikorea utakuwa umedokoa
Nimeainisha hapa maneno 15 ambayo yanatumika sana kwenye...
Nipo nasikiliza nyimbo ya dini tumeletewa ya huyu msanii, hii nyimbo unaweza kufundishia mavyuoni kabisa na wanafunzi wakakuelewa nini ambacho mwalimu umekusudia kulenga.
Kuna ile inaitwa heshima...
I am not a qualified physician
And I dont want to give this
injection
I am not a qualified physician
And I dont want to give this
injection
Dorothy is begging for trouble
She insist I should give...
Wakati naaangalia filamu ambayo ipo Katika mfumo wa series inaitwa From the Scratch Kuna baadhi ya vitu nilianza kuvipata ambavyo kwa namna moja au nyingine nikaona kati ya watu wanaweza kutumia...
Kiukweli inanishangaza sana huyu chama mechi kubwa anakuwa kama panya aliye toswa kwenye bakuli la maji kalowa,hajiwezi kabaki kutapa tapa,shida ni nini uzee au pensheni zimemzidia?
" Asante kwa kujiunga nami leo. Leo, nataka kushiriki nawe hadithi - hadithi ya azimio, uimara, na kutafuta furaha. Ni hadithi inayogusa kila mmoja wetu kwa sababu, ndani kabisa, sote tuna ndoto...
Hello,
Hapa patakua nyumbani kwa wale wote wenye hisia na wanaovutiwa na kazi nzuri za sanaa (aesthete) kuanzia kwenye picha za asili zenye mvuto (nature) hadi kwenye maandishi yaliyopangwa...
GAME INAMDAI
INNOCENT SAHANI "Dirty Knob" "Bad Man" "MFALME wa MITAANI" "D Knob"
Mwamba kutoka Kiwalani alifanya kazi nyingi sana na Mika Mwamba, akapita kwa Majani, kwa D Money, kwa Villy Nice...
Muziki si kitu cha kawaida kama wengi tunavyodhani,Muziki ni nguvu katika ulimwengu wa Roho,inaweza vuta nguvu ningine za kiroho kuja eneo la tukio
Muziki ni dawa ya nafsi inaweza kutibu na...
Filamu ya Titanic iliyotoka mwaka 1997, ni filamu ambayo ilivunja tekodi ya mauzo kwa kipindi hichi ikiwa imeingiza pesa kiasi cha dola za Kimarekani bilion 1.8 huku ikiwa imetumia budget ya...
Idadi ya wanaugua Magonjwa hatari yasiyoambukiza ikiwemo Kiharusi, Shinikizo la Juu la Damu, Maradhi ya Moyo imetajwa kuongezeka kwa kasi nchini ambapo wengi wao ni wenye miaka kati ya 20 hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.