Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Ni huyu msanii wa injili ametokea kunikosha sana na nyimbo zake ila hii NIMEACHILIA ni ya moto sana...inagusa hisia sana za vijana tunayopitia... Nyimbo ina liwaza, elimisha na inaponya.binafsi...
1 Reactions
3 Replies
864 Views
Bayser, umeelewa kauli ya mkeo kama nilivyo ielewa mimi ? Mke wa Blue amenukuliwa akisema; "Mimi namsapoti mume wangu kwasababu tumejenga nyumba nane kupitia muziki, kwahiyo mimi nasapoti sana...
3 Reactions
11 Replies
5K Views
Hapo zamani, kulikuwa na hadithi maarufu katika ulimwengu wa kufikirika wa bala la Westeros, ulimwengu wa series ya "Game of Thrones" iliyo zungumzia Usiku mrefu(the long night) na uwepo wa White...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
MALKIA WA KUZIMU..... 01 MTUNZI: LOVI PIUS KIJOGOO WHATSAP: 0757 238 304. 0622 738 310. TANGA. SEHEMU YA KWANZA Baada ya miaka mingi kupita, bado alizidi kuikumbuka historia Mbaya na Chungu...
6 Reactions
104 Replies
31K Views
Habari zenu wakuu. Kuna swali nilikuwa najiuliza mara kwa mara hasa nikiona CD za Kikorea zinauzwa kama nyanya mtaani. Nikawa najiuliza hivi wakorea wanapata vipi faida kwenye series zao? Maana...
8 Reactions
4 Replies
3K Views
Kuna Hawa madogo wa country wizzy wanajiita fresh boys Wapeni sikio mtoe marks Wanakuja kuja
3 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna mtu aliwahi kuniambia Jina lake ni EDWARD SHEKIONDO lakini akalifanyia usanii akajiita EDDY SHEGGY. Namzungumzia kaka wa Christian Sheggy, mwanamuziki wa zamani wa Orchestra Super Rainbow, na...
3 Reactions
84 Replies
27K Views
SURA YA KWANZA 28/3/1989 Ulikuwa ni msafara wa watu watano, wawili kati yao, pamoja na mimi mwenyewe, tukiwa ni waandishi wa habari waajiriwa wa kampuni ya Film Tanzania ambayo ilikuwa ni...
1 Reactions
25 Replies
13K Views
Wakuu habarini za muda huu kama wewe ni mfuatiliaji wa Korean dramas naamini kutakuwa na maneno mawili matatu ya kikorea utakuwa umedokoa Nimeainisha hapa maneno 15 ambayo yanatumika sana kwenye...
14 Reactions
43 Replies
7K Views
Nipo nasikiliza nyimbo ya dini tumeletewa ya huyu msanii, hii nyimbo unaweza kufundishia mavyuoni kabisa na wanafunzi wakakuelewa nini ambacho mwalimu umekusudia kulenga. Kuna ile inaitwa heshima...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
I am not a qualified physician And I dont want to give this injection I am not a qualified physician And I dont want to give this injection Dorothy is begging for trouble She insist I should give...
2 Reactions
0 Replies
545 Views
Wakati naaangalia filamu ambayo ipo Katika mfumo wa series inaitwa From the Scratch Kuna baadhi ya vitu nilianza kuvipata ambavyo kwa namna moja au nyingine nikaona kati ya watu wanaweza kutumia...
3 Reactions
11 Replies
786 Views
Kiukweli inanishangaza sana huyu chama mechi kubwa anakuwa kama panya aliye toswa kwenye bakuli la maji kalowa,hajiwezi kabaki kutapa tapa,shida ni nini uzee au pensheni zimemzidia?
0 Reactions
6 Replies
576 Views
" Asante kwa kujiunga nami leo. Leo, nataka kushiriki nawe hadithi - hadithi ya azimio, uimara, na kutafuta furaha. Ni hadithi inayogusa kila mmoja wetu kwa sababu, ndani kabisa, sote tuna ndoto...
2 Reactions
2 Replies
865 Views
Mwanzo “Huyu tumuue kwani bosi amemleta huku lengo lake afe tu”. “Hapana nafikiri kumuua sio jambo jema, kiubinadamu pia huyu ni mwanaume mwenzetu” “Kibarua kitaota nyasi shauri yako,sasa...
8 Reactions
50 Replies
6K Views
Hello, Hapa patakua nyumbani kwa wale wote wenye hisia na wanaovutiwa na kazi nzuri za sanaa (aesthete) kuanzia kwenye picha za asili zenye mvuto (nature) hadi kwenye maandishi yaliyopangwa...
2 Reactions
3 Replies
495 Views
GAME INAMDAI INNOCENT SAHANI "Dirty Knob" "Bad Man" "MFALME wa MITAANI" "D Knob" Mwamba kutoka Kiwalani alifanya kazi nyingi sana na Mika Mwamba, akapita kwa Majani, kwa D Money, kwa Villy Nice...
6 Reactions
17 Replies
3K Views
Muziki si kitu cha kawaida kama wengi tunavyodhani,Muziki ni nguvu katika ulimwengu wa Roho,inaweza vuta nguvu ningine za kiroho kuja eneo la tukio Muziki ni dawa ya nafsi inaweza kutibu na...
7 Reactions
72 Replies
9K Views
Filamu ya Titanic iliyotoka mwaka 1997, ni filamu ambayo ilivunja tekodi ya mauzo kwa kipindi hichi ikiwa imeingiza pesa kiasi cha dola za Kimarekani bilion 1.8 huku ikiwa imetumia budget ya...
17 Reactions
44 Replies
17K Views
Idadi ya wanaugua Magonjwa hatari yasiyoambukiza ikiwemo Kiharusi, Shinikizo la Juu la Damu, Maradhi ya Moyo imetajwa kuongezeka kwa kasi nchini ambapo wengi wao ni wenye miaka kati ya 20 hadi...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom