Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Makadirio ya Ukubwa wa Muvi / Series -Muvi za 720p zina MB 700 hadi GB 1 -1080p zina GB 1.5 hadi 2 -Series za 720p zina MB 250 hadi 400 -1080p ni MB 500 hadi 800
1 Reactions
0 Replies
1K Views
************************************************ Sehemu Ya Kwanza (1) Upepo na jua ni mahasimu wa toka zamani, mara nyingi ubishani wao wa kutaka kujionyesha yupi ni bora kuliko mwenzie, ndio...
2 Reactions
24 Replies
7K Views
Hello JamiiForums, Hii itakua thread yangu ya pili humu Jukwaani toka nijiunge kama member June, 2020. Mimi ni Producer, Composer & Songwriter. Ndani ya miaka mitatu nimekua nikijaribu kuendeleza...
0 Reactions
2 Replies
500 Views
Habari wana jukwaa, Nime attach track yangu, naomba kuambiwa pa kurekebisha, nilikopatia. Nlipoharibu kabisa. Style yangu ni EDM ie Electronic Dance Music, Sub Genre: Melodic Bass. Natumia FL...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Ni baada ya maneno mengi ya mipasho kutoka kwa muimba taarabu iliyochangamka a.k.a young lunya au mbuzi Kama anavyojiita yeye kwenda kwa young killer msodoki. Naona this time around killer...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wakuu nakuja tena kwenu nikiwa nimechoka sana. Ngoja ninywe hata juice nipate nguvu ya kuwasimulia yaliyonikuta na yanayoendelea kunikuta. Ilikuwa mwaka jana mwezi wa 11 nilipokutana na mwanamke...
12 Reactions
140 Replies
15K Views
Wapenzi wa siries, Katika kufuatilia kwangu siries hakuna na sijaona yenye stori nzuri kama jumong, si game of throne, Breaking bad Giant 24 Iris wala walking dead ambazo zimekuwa zinasifiwa sana...
8 Reactions
79 Replies
5K Views
Yeap, Umesoma sahihi, Ni buree! Ndio najua unajiuliza, “hii inawezekanaje?“ Ngoja nkwambie sasa, of course kuna a catch Inabidi ujiunge na Publication inaitwa “Cinemalitics” Link hii hapa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Miaka ya Nyuma katika kutangatanga siku hapo lang'ata Kinondoni. Hawa Fm na Nyoshi anaimba hadija wako pale. Nikamuona binti mmoja kakaa pembeni kajiinamia ni mzuri kweli. Ndio Giselle. Namuuliza...
3 Reactions
9 Replies
710 Views
Nimejadili sababu za kibiashara na za kisayansi ya akili na saikolojia ya binadamu. Pamoja na ombi hili naomba kukiri nimeanzisha thread hii kutokana na mjadala nilio taja awali. Nimejaribu pia...
6 Reactions
9 Replies
3K Views
SALAAM...! Natumai muwazima kabisa. Well...! Clouds FM (CMG) ni Radio iliyoleta mapinduzi katika huu muziki wa kizazi kipya na hata miziki mingine, tangu ilivyosemwa kuwa muziki wa Bongo Flavor...
8 Reactions
39 Replies
5K Views
Leo ni siku ya kiswahili duniani. Maktaba app ingependa tuanze kusomea moja ya kitabu kipatikanacho ndani ya Maktaba app. whatsapp 0715278384. UTANGULIZI 12 Nokora mpumbavu Hali ya Mtumwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Iwe movies moja tamu isiyochosha kuifuatilia ili iweze kunichangamshia siku yangu. Tafadhali iwe ya kihindi, na pia iwe kali ya kibabe haswa.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
It's been a damn long time kiunga hiki, hope mko poa nyote, karibuni tena uwanjani hapa tupendekezeane filamu nzuri za kutazama katika kipindi hiki cha weekend, na hivi mvua inanyesha ukikaa zako...
37 Reactions
153 Replies
16K Views
Kwanini Mimi[emoji24][emoji24] ep [emoji2388][emoji2390][emoji1370][emoji1370] SIMULIZI YA MAISHA: KWANINI MIMI? 02 MWANDISHI : MIKA AUTHOR MSAMBAZAJI: Simulizi za Gilbert MAWASILIANO...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Black emanuelle
0 Reactions
1 Replies
398 Views
Son of Tanganyika How do you feel When I call you a coward How do you feel When I call you a traitor How do you feel When I call you a betrayer You have betrayed the land The sons of our...
0 Reactions
1 Replies
850 Views
UGANDA CENTRAL ( +256) Hili lilikuwa jina la kipindi cha ngoma za Uganda pale East Africa Radio miaka hiyo (sijajua kama bado kipo maana sisikilizi tena redio). Umewahi kusikiliza muziki wa...
7 Reactions
30 Replies
3K Views
Ni huyu msanii wa injili ametokea kunikosha sana na nyimbo zake ila hii NIMEACHILIA ni ya moto sana...inagusa hisia sana za vijana tunayopitia... Nyimbo ina liwaza, elimisha na inaponya.binafsi...
1 Reactions
3 Replies
864 Views
Bayser, umeelewa kauli ya mkeo kama nilivyo ielewa mimi ? Mke wa Blue amenukuliwa akisema; "Mimi namsapoti mume wangu kwasababu tumejenga nyumba nane kupitia muziki, kwahiyo mimi nasapoti sana...
3 Reactions
11 Replies
5K Views
Back
Top Bottom