Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Morogoro ni mji WA vipaji na vituko kila siku toka enzi Za afande sele , o. Ten, stamina , Jack simela r. I. P no wengineo taja wasanii wengine WA morogoro tuwape shout out apa Kwa uwepo wao
1 Reactions
4 Replies
669 Views
Nlikuwa na CD yao ikapasuka. Kama kuna mtu ana ngoma zao anisaidie. Ukiwepo wimbo: Usiniache Bwana Natanguliza shukrani 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
0 Reactions
2 Replies
901 Views
Hapa nimeshangazwa na ujasiri wa Dj aliye zamu leo RFA maana anapiga nyimbo za mixtape za Anti Virus live live ni matusi matusi tu. Kama hamtaamka na barua ya TCRA asubuhi Mungu yupo nanyi...
9 Reactions
27 Replies
2K Views
Yamenikuta Kama yaliyotokea kwenye hz movie. Dhadkan upande wa sunnly shet Tere ma'am. Darr.upande wa sharukhan. Dil karshta upande wa Arjun rampal n hvo tu
1 Reactions
13 Replies
933 Views
Kiongozi na mwimbaji mkongwe wa bendi ya 'Twanga Pepeta' luiza Mbutu amefunguka na kuonyesha kukerwa kwake na tabia ya baadhi ya wasanii wa filamu na bongofleva wanaojihusisha na skendo za...
1 Reactions
22 Replies
16K Views
....Siooo leeeeeo toka zamani, Mnyama hana mpinzani.....
1 Reactions
15 Replies
3K Views
SEHEMU 1 Hapo zamani za kale enzi za akina nabii mfalme Daud huku Israel kulikuwepo na nabii mmoja kwenye himaya ya Uingereza aliyekuwa akijulikana kwa jina la nabii Johnson Petersburg (45)...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Kisiasa na kijamii, Je, ujumbe huu wa Maalim Nash una reflection yoyote kwenye maisha ya Tanzania kwa sasa? Sikiliza kuanzia mwanzo hadi dakika ya 1:30 -Kaveli-
2 Reactions
37 Replies
2K Views
1.jumba la dhahabu[emoji1241]-Tuesday kiangala 2.siri ya mtungi[emoji1241]-watu wamarekan 3.jua kali[emoji1241]-leah lamata 4.binadamu[emoji1241]-kitale 5.game of love[emoji1241].-musa banz...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
"Mariano Mariano nilikua nampango mmoja ,nikaingia kwa benk nikashika risasi nikasema lala chin bas mm uyo basi mm uyo nikaubeba mzigo naendesha gari na zinanyesha kama mvu" Kma nmekosea...
1 Reactions
4 Replies
490 Views
Je, wajua "The Gods must be Crazy Movie" Muigizaji mkuu wa "The Gods Must Be Crazy", N!xau Toma, alilipwa $300 pekee, ingawa filamu iliyotayarishwa mwaka wa 1980 ilitengeneza zaidi ya $200...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nisipoteze muda, moja kwa moja kwenye mada. Beat hiyo hapo chini kwa wajuzi unaweza kusikiliza na kutoa feedback, wapi hapako sawa, wapi na nini kimevuruga, nini niongeze na nini nipunguze nk...
1 Reactions
12 Replies
867 Views
Habari zenu waungwana. Nilikua naomba wimbo unaopigwa kwenye misiba ndani ya tamthilia ya huba dstv 160 Natanguliza shukrani
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wasalaam, Muziki au matangazo ya kibiashara ni vitu vinaweza kutukumbusha hazina ya muda na mambo mazuri tuliwahi kuwa nayo zamani Binafsi siwezi kulisahau tangazo la dawa ya kuzibia pancha...
8 Reactions
117 Replies
10K Views
Nakumbuka mara ya kwanza kuona tamthiliya ya Iris ilikuwa ni ITV pale mwaka 2013 kama sio 2014 kipindi hicho hata smartphone sina. Nilivyoiona tu mara ya kwanza sijui ilikuwaje lakini tangu hapo...
28 Reactions
60 Replies
12K Views
Uzi maalum Kwa ajili tamthilia ya Unfaithful, Ripoti, Juakali, Huba n.k Uzi tayari # kukumsela
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Hii ndio Taarifa mpya kwa sasa, kwamba Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limemtumia Barua ya wito TRUE BOY likimuhitaji kwa Mahojiano kuhusu Kibao chake kabambe alichokitoa hivi karibuni, bado...
22 Reactions
55 Replies
6K Views
Story inahusisha jamaa wanne na mdada mmoja, kwa pamoja wanakuwa MTU TANO. Jamaa walijihusisha na utoaji wa misaada kwa jamii, si kanisani wala misikitini, kote walialikwa na huko walitoa pesa na...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom