Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,883
- 2,765
Huu wimbo mzuri sana kusikiliza. Tatizo ukija kwenye ujumbe ndio tatizo. Unapinga mahusiano. Tujiunge na Jux na Diamond kwenye upweke na ukapela tukanywe na tucheze juu ya meza.
Nawashauri wasanii wetu hawa wazuri kwamba watengeneze version nyingine ya huu wimbo kwa ajili ya kupalilia mapenzi
Huu wimbo utapigwa kwenye maharusi na sehemu za heshima kwa kigezo cha burudani ila bdala yake ni kuharibu mahusiano ya watu
Wasanii wetu hawa sikilizeni wahenga wanasema nini. Shetani asiwatumie kiasi hiki
Nawashauri wasanii wetu hawa wazuri kwamba watengeneze version nyingine ya huu wimbo kwa ajili ya kupalilia mapenzi
Huu wimbo utapigwa kwenye maharusi na sehemu za heshima kwa kigezo cha burudani ila bdala yake ni kuharibu mahusiano ya watu
Wasanii wetu hawa sikilizeni wahenga wanasema nini. Shetani asiwatumie kiasi hiki