Nyota ya mkali wa Bongo Flava, Ali Saleh au Alikiba imeendelea kung'ara kwenye soka baada ya wi
mbo wake wa Huku kutumiwa mazoezini na klabu ya Liverpool ya Uingereza.
Hii ni siku chache baada...
Wakuu ninashangazwa na kinachoendelea kwenye kinachoitwa Wasafi festival. Ikumbukwe hili ni onyesho la muziki linaloendelea mikoa mbalimbali. Kuna jambo limejitokeza ambalo mimi limenishangaza...
MISS MY DAWGS 🔥
Lil Wayne and YG
Man, I miss my dawgs
The ones I pick up for, ain't never missed a call
Plotting to get it popping, we had plans to get it all
Wishing you was here, dawg, to...
Rigobert Bamundele (28 Agosti 1955 - 26 Oktoba 2023), maarufu kama Rigo Star, alikuwa mpiga gitaa na mtunzi wa soukous kutoka Kongo. Alicheza na makundi kadhaa maarufu ya soukous na muziki wa...
Habari wanajamvi
Naomba mnisaidie kwa wale wataalam wa Series (tamthilia) wanijuze series gani kali ( kuna visa, mikasa, ngumi, mapenzi, usaliti, visasi, visa mafunzo) isiyochosha wala kukinai ...
Kuelekea michezo wa marudiano wa hatua ya robo fainali ya kombe la Afrika (AFL) kesho kati ya Simba SC dhidi ya wenyeji Al Ahly, katika dimba la Cairo imebainika kuwa sheria ya goli la ugenini sio...
Wakubwa nakuja tena kwenu kwa mara ya nne,naomba mtu anayejua mahala nakoweza kupata tamthiliya ya SIRI YA MTUNGI ikiwa imekamilika.
Youtube kuna episodes chache tu.
Kenya wameanza hizi Mambo kitambo , huu wimbo maarufu wa malaika asili yake ulitungwa na mtanzania Adam Salim Ila Kuna mkenya enzi hizo bwana fadhili William anadai Ni wake c kweli, hii kiswahili...
Tuambie list ya Bongo fleva kuanzia 2010 kushika chini unazozikubali.
Lady jaydee machozi na Damu.
Mwanafa Yalaiti
Diamond platnumz kamwambie.
Niambie wewe?
Nimeweka nyimbo 4 za wapiga solo tofauti kwahiyo unaweza kudownload kusikiliza na kuamua kwako nani mkali.
1. Dally Kimoko
2. Diblo Dibala
3. Nene Tchakou
4. Saladin
Twende kazi
Habari wana jamvi?
Kama kichwa kinavyojieleza nimeanzisha thread hii ili itusaidie sisi kujua je hizi ndoto zinatofautiana au sawa kwa watu sawa au wanaoishi maeneo tofauti lakini zinakuwa na...
Wana Jami forums naomba ni wasalimu wote kwa heshima zote. Leo nakuja na story ya kweli ya mtoto wa waziri maarufu kwenye awamu ya nne.
Huyu kijana ambaye Sasa ni mtu mzima. Nimekutana naye...
Habari za weekend, leo nimekumbuka tukio moja la 2012. Sisi wenye damu ya uchakalikaji huwa tunakutana na 'mazali ya mentali' mengi sana. Sitoelezea ilikuaje hadi nikaenda Paris-France, lakini...
(Kutoka kwa mwandishi wa stori za kusisimua zilizowahi kuchapishwa hapa JF za Taxi; Kizungumkuti!; Laiti Ningejua!; Hekaheka!; Hadi Lini! na nyinginezo)
Na Bishop Hiluka
0685 666964 |...
India ni nchi yenye utatibu wa kuwa na sherehe za kuvutia zinazosherehekea utofauti wake uliopambwa na utajiri wa kitamaduni.
Rann Utsav eneo la Kutch katika mkoa wa Gujarat bila shaka ni...
Habarin wanajamii mm nasumbuliwa na kitu kama acid kooni unakuwa unahisi kama kitu kimekukwama
Nishaenda hospitalin kama mara 6 wanashia kunipa dawa tu, kuna muda walishauri nipime madonda ya...
Kama mnavyojua tena Koffi Olomide akiwa na kundi lake la Quarter Latin amefanikiwa kutoa album nyingi na nzuri, leo nataka tujue kizazi kipi kwa kofi kilikuwa bora na kilimng'arisha sana kofi.
I...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.