Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Pictuspublishers tumefasiri kitabu How to win friends and influence people. Kila wiki siku ya ijumaa tutasoma sehemu moja. Unaweza kusoma sehemu iliyofasiriwa ndani ya maktabaapp. kuungwa tucheki...
4 Reactions
27 Replies
5K Views
Baada ya simba kutoa sare leo uwanja wa nyumbani, zile nyuzi za kuikebehi na kuiponda yanga zimepungua kama hazijamalizika kabisa. Matokeo ya mpira wa miguu huja tofauti na matarajio ya wengi...
0 Reactions
0 Replies
296 Views
Wapenzi wa simulizi, hii ni Simulizi iliyotoka mwaka 1886 huko Urusi iliyotungwa na Nguli wa Fasihi, Leo Tolstoy. Mwanafasihi huyu ameandika Riwaya na Hadithi fupi fupi nyingi sana. Riwaya zake...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Hii ndio movie kali ya kivita ya muda wote
16 Reactions
62 Replies
6K Views
Habari... wadau ebu leo naomba tukumbushane Zile bongo flava zilizo fanya vizuri enzi zileeee me naanza na TAMALA ya HARDMAD
0 Reactions
2 Replies
2K Views
[Verse 1] In the sunshine, we're feelin' irie (irie, irie) With the rhythm, we're catchin' the vibe (vibe, vibe) Breezy melodies, takin' us higher (higher, higher) In this reggae groove, we gonna...
2 Reactions
3 Replies
696 Views
Wakuu habari, Wimbo tajwa hapo juu nshautafuta sana bila mafanikio. Naomba mwenye nao anisaidie tafadhali[emoji21]
1 Reactions
4 Replies
11K Views
Katika maisha kila mtu anakuwa na matukio ambayo siyo rahisi kuyasahau hata akumbwe na changamoto ya namna gani. Leo na mimi nimeamua ku share na nyinyi Wana JF tukio hili ambalo sio la kutisha...
34 Reactions
121 Replies
19K Views
Juzi nilikuwa napitapita Insta kweny page za entertainment za Nigeria, aisee jamaa wanasema sana, wanamsimanga hadi nilijisikia vibaya. Mimi sio kwamba mshabiki sana wa diamond, ila nikiona...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Nitaweka hapa hadithi zote, kutoka vitabu vyote(vinne ) vya Alfu lela ulela. Fuatana nami kwenye safari hii ndefu. Pia vyote unaweza kuvisoma bure ndani ya maktaba app. Tuanze na kitabu cha nne...
2 Reactions
34 Replies
10K Views
DR. MARCO MKALI, MARCO CHIZI KIDOGO Alipita Metro studio, Serious Records, Kama kawa Records mpaka alipotuliza majeshi MJ RECORDS na kufanya kazi na mkubwa Master Jay huku pia akiwavuta wadogo...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Hii movie nadhani naiangalia mara ya 10 Guy Ritchie alitulia aisee.
1 Reactions
6 Replies
617 Views
Movie inaanza Sunil Shet anaishi na mama yake hawana pesa ikabidi Sunil Shet amuage mama yake, kisha akaenda kumuaga girlfriend wake ambaye kwao ni matajiri. Baada ya miaka kadhaa wazazi wa demu...
7 Reactions
80 Replies
14K Views
Wakati ambapo nyimbo ni sehemu muhimu kwa wapenzi wengi kunogesha mapenzi na hata kuwa kumbukumbu ya happy moment wakati wa nyuma katika mapenzi. Upo ukweli mwingine usioepukika katika visa vya...
0 Reactions
234 Replies
41K Views
Yeyote anayesoma ujumbe huu akapate hitaji la Moyo wake.
2 Reactions
4 Replies
530 Views
Habari wanajamvi Leo nimekaa tu nikaanza kutafakari mengi likanijia wazo nije umu tushare wanajamvi Ni wimbo gani ambao ww hupenda kusikiliza ukiwa katika mapito yako Mm ziko nyingi mno ila...
16 Reactions
163 Replies
12K Views
TAMAA YA UTAJIRI ILIVYONIPONZA Akiwa ni kijana bado Nico anaamua kuanza maisha mapya na mpenzi wake aliyempenda sana. Mpenzi wake anaitwa Anna. Nico ni kijana anayeishi kijijini mpambanaji...
2 Reactions
72 Replies
23K Views
Wakuu, Wapi naweza kupata nyimbo za huyu mwamba Franco Luambo Makiadi za 70s and early 80s. Natanguliza shukrani
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Am so proud of my language Kiswahili. We must promote kiswahili . Kiswahili the language of Africa.
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Katika usiku wa SWAHILI NIGHT iliyoandaliwa na lebo namba moja ya muziki nchini Tanzania; tarehe 17 november, wamemkaribisha msanii ambaye atakuwa chini ya Lebo hiyo ajulikanaye kwa jina maatufu...
8 Reactions
12 Replies
4K Views
Back
Top Bottom