Mkuu achana na bongo fleva,karibu kwenye anga la burudani la muziki wa kikongo!.
Kula Beer 2 za Castle lite halafu weka magoma ya Fally Ipupa uanze na Alliance kisha Mayday,hutojutia mkuu!
Ukitaka muziki mzuri wa Bongofleva kasikilize miziki ya zamani siyo ya sasa!