I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,734
- 10,041
Katika usiku wa SWAHILI NIGHT iliyoandaliwa na lebo namba moja ya muziki nchini Tanzania; tarehe 17 november, wamemkaribisha msanii ambaye atakuwa chini ya Lebo hiyo ajulikanaye kwa jina maatufu kama D VOICE.
D VOICE si msanii mgeni sana katika masikio ya wapenda burudani ya mziki nchini Tanzania hasa kwa mdundo wa mziki wa kisingeli.
Pamoja na utambulisho huo pia ameachia Albamu yake mpya chini ya management ya WCB iliyopewa jina la ~SWAHILI KID~. Na sasa inapatikana katika platforms zote za mziki mitandaoni
Tupitie kidogo kilichopo ndani ya albamu hiyo.
SWAHILI KID
1) D Voice - Umenifunza
2) D Voice – Mtamu
3) D Voice – BamBam
4) D Voice Ft. Mbosso – Mpeni Taarifa
5) D Voice – Chori Chori
6) D Voice Ft. Zuchu – Nimezama
7) D Voice Ft. Lava Lava – Turudiane
8) D Voice – Lolo
9) D Voice Ft. Diamond Platnumz – Kama Wengine
10) D Voice – Mungu Baba
:: Welcome to Wasafi family!.
View attachment 2816053
D VOICE si msanii mgeni sana katika masikio ya wapenda burudani ya mziki nchini Tanzania hasa kwa mdundo wa mziki wa kisingeli.
Pamoja na utambulisho huo pia ameachia Albamu yake mpya chini ya management ya WCB iliyopewa jina la ~SWAHILI KID~. Na sasa inapatikana katika platforms zote za mziki mitandaoni
Tupitie kidogo kilichopo ndani ya albamu hiyo.
SWAHILI KID
1) D Voice - Umenifunza
2) D Voice – Mtamu
3) D Voice – BamBam
4) D Voice Ft. Mbosso – Mpeni Taarifa
5) D Voice – Chori Chori
6) D Voice Ft. Zuchu – Nimezama
7) D Voice Ft. Lava Lava – Turudiane
8) D Voice – Lolo
9) D Voice Ft. Diamond Platnumz – Kama Wengine
10) D Voice – Mungu Baba
:: Welcome to Wasafi family!.
View attachment 2816053