Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Generation Z ni kizazi kisichotaka mambo mengi kwenye maisha, mfano nimekutana na hiki kipande cha mchekeshaji Chard Talent akiweza kuimba kwenye beat iliyopigwa kwa kutumia Guitar na msanii Hamis...
0 Reactions
0 Replies
450 Views
Kwa wale wa kizazi cha kabla ya Y2K watakumbuka miaka ya 90 hadi mwanzoni mwa 2k kulikuwa na nyimbo kali sana za R&B. Kuna baadhi ya nyimbo ukisikiliza zinasisimua mpaka mifupa. Binafsi kuna...
18 Reactions
901 Replies
35K Views
Wadau natafuta series zenye ladha kama hizi; Six Flying Dragon na Gwaggaeto, zenye siasa na mapigano kwa wingi.
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Naona Clouds media wametuma wawakilishi wao kwenda Rwanda Kigali kwenye usiku wa tuzo za Trace Music Awards Festival zinazofanyika hii leo. Clouds media kupitia team XXL naona wameshikilia sana...
2 Reactions
10 Replies
795 Views
hey buddies Nimeona reviews na comments mbalimbali kuhusu genre za movies(action,thriller,horrors et),.lakini sijapata wadau wa movie za psychological thrillers, movie za psychiatric na asylum...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
RIWAYA…..THE MAGIC RING ( 01 ) MTUNZI….. HUSSEIN O. MOLITO TRANSLATION….. GIFT KIPAPA Upepo mkali ulioambatana na radi huku rangi ya mawingu ikizidi kuwa nyeusi . muwako na muungurumo mkali...
3 Reactions
28 Replies
8K Views
Huyu msanii wa kike anajua sana kuimba kuliko wasanii karibia walio juu kwenye chart za mziki Tanzania. Natumai atapata push ya kutosha kwenye industry ili aweze kufikia level anayostahili...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Mtunzi Nyemo Chilongani Sehemu ya 01 Ukimya ulitawala ndani ya Jiji la Dar es Salaam, yale magari yaliyokuwa yakipita kwa kasi katika barabara nyingi jiji humu yalikata kabisa. Watu wengi...
22 Reactions
590 Replies
114K Views
Kwanza kabisa mwanzo wa yote wacha niweke msimamo wangu kuwa mimi sio mtu wa dini yoyote(sina dini). Turudi kwenye dhumuni la uzi huu ambalo ni kuwapa pongezi zao Seventh Day Adventist(SDA) kwa...
28 Reactions
164 Replies
13K Views
Inahusu mtu na mumewe walikuwa wanafanya biashara ya kuuza nyama za ng'ombe sasa walikuwa kama na mikosi hivii unajua kwa nini nyama zilikuwa azitoki yaani aziuziki zikibaki wakimpa mbwa wao...
9 Reactions
39 Replies
2K Views
Riwaya: Anga ya Washenzi Imeandikwa na Gilbert Evarist Mushi Phone: 0765824715. Msimu wa Kwanza, Sehemu ya 01 SURA YA KWANZA Jumatatu Tar 07/04/2022, Saa 04:00 Asubuhi. Hali ya hewa ilikuwa...
7 Reactions
104 Replies
21K Views
Hatimaye wasanii wanowania tuzo za muziki za Kilimanjaro(KILI MUSIC AWARD )wametajwa MWIMBAJI BORA WA KIKE VUMILIA LADY JAYDEE MWASITI KEISHA ISHA RAMADHANI MWIMBAJI BORA WA KIUME...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Habari wadau, kila kukicha wasanii wa bongo fleva wanaongezeka lakini hakuna cha maana wanachoimba zaidi ya kukopiana nyimbo, hebu tujikumbushe nyimbo za Bongo Fleva zilizotamba kipindi hiko. Mimi...
7 Reactions
672 Replies
490K Views
Kama hauja itazama itafute unakosa mambo mengi sana ina muhusu bwana mdogo edi mora ambaye alikuwa maskini choka mbaya sana hadi kukimbiwa na mkewe baadae anakuja kukutana na shemeji yake ana mpa...
7 Reactions
30 Replies
2K Views
Ni muziki wa kati ya miaka 2000 hadi 2010 hivi. Nazitafuta albums z wasanii hawa chini hasa albums zao z kwanza kabisa 1.RAY C 2.Q-CHIEF 3.BANANA ZORRO 4.LADY JAYDEE 5.MB DOGGY ILE YA MAPENZI...
2 Reactions
7 Replies
526 Views
  • Poll Poll
Breaking bad 9.5 Game of thrones 9.4 Hizi ni kwa mujibu wa rate za IMDB je wew kama mdau ipi kwako ni kalii sana
4 Reactions
126 Replies
6K Views
Woooooow!,I miss those days! 1.Bozi boziana - Mwana Mawa 2.Pepe Kalle - Gerant 3.Lucien Bokilo - Anne Missette 4.Lucien Bokilo - Djoukende 5.Madilu - Biya 6.Le General Defao - Madova 7.Le...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Mtunzi Ally Katalambula Sehemu ya 01 SIKUJUA kama nina kipaji cha mpira wa miguu, hadi watu wa pembeni walipoanza kunieleza hivyo. Mtu wa kwanza kuniambia nina kitu miguuni mwangu, alikuwa ni...
19 Reactions
374 Replies
88K Views
Uzi huu ni maalum kwa ajili wa waandishi na wapenzi wa kusoma mashari kuja hapa kujadiliana na kufundishana vitu mbalimbali kuhusu ushairi. Karibuni jamani tushirikishane na tutunge mashairi...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wakuu, natumai mpo gudi, rejea kichwa cha habari hapo juu, Kuna muvi fulani hivi kwa ambae anaweza kuijua hata jina yenye pia ina maudhui ya mauaji ya kimbari pale Rwanda iko hivi; Kuna...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom