Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Daah! Mzee wa farasi Ali Choki. Amigolas: "Ni kosa gani Emii nililokusea Mimi , Emii... " Wazee wa Bandari meli hiyooo!!" Wazee wa Mivinjeni!! Wapiga mvinyo!! Enzi hizo TCC Club. Eee bana ee! Watu...
7 Reactions
26 Replies
3K Views
Nisikuchoshe na usinichoshe,tusichoshane! Aiseee leo nimekumbuka vituko vya miaka ya nyuma wakati nasoma shule ya msingi pale Rebu!. Ni miaka mingi nimepotezana na rafiki yangu kipenzi wa miaka...
33 Reactions
153 Replies
17K Views
Diamond Platnumz amefanikiwa kushinda tuzo ya the Best African Act Award katika sherehe ya utoaji tuzo hizo ya (the 2023 MTV EMAs). Amekuwa msanii wa kwanza wa Afrika na Africa mashariki kushinda...
9 Reactions
15 Replies
4K Views
English series 1. Game of thrones 2. Prison break 3. Breaking bad 4. Blindspot Korean Drama 1. Jumong 2. A man called god Spanish series 1. Money heist Indian movies 1. Movie yoyote ambayo...
3 Reactions
54 Replies
13K Views
Kinywaji cha Pepsi kinadaiwa kutamba sokoni na kutishia market share ya mtani wake wa jadi Coca. Derby hii inadhaniwa unywaji wa Pepsi kwa kasi ya mwanga umekolezwa na Mondi kui-brand...
5 Reactions
85 Replies
5K Views
Based on a true story. CHAPTER 1 Zamani kidogo kipindi iko nipo A - level form 5 naelekea form six ile likizo kubwa nilienda kwa Mama likizo mkoa X. Mama anaishi mkoa X ila mimi naishi na dada...
23 Reactions
685 Replies
82K Views
An injured, unconscious man washes ashore in a small French town. As he recovers, it becomes quite clear, someone is trying to kill him. Nimeanza kurudia kuangalia upya, angalia nami kwa...
11 Reactions
34 Replies
5K Views
Kama unafuatilia muziki kwa umakini utabaini kwamba Bongo hamna music chart ya kueleweka, the likes of Billboard. Hapa Bongo kila kituo kina charts zake. Clouds ina Clouds FM top 30, EA Radio ina...
3 Reactions
13 Replies
945 Views
Prison Break kurudi bila Michael Scofield na Lincoln Burrows. Kulingana na Radio Times, sio Dominic Purcell wala Wentworth Miller wanaotarajiwa kurejea. Mfululizo huu unaripotiwa kuandikwa na...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Sehemu ya 1 Ninaitwa Kapeli ni mtoto wa sita kati ya watoto saba familia yetu ni ya kimasikini kama waadhirika wengine wa vita nchini kongo siku nyingine tungepitisha siku tatu bila kugusa...
3 Reactions
102 Replies
11K Views
https://youtu.be/JG0FZOO9OdE?si=Xt3nJH9GWXxKPUmM https://youtu.be/rJWdfDPZ9Ck?si=HhcCRZ6t-0udTwrU Marafiki ni watu wanafiki wengi wao wanakuja muda wa raha tu.
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama wewe ni Mpenzi wa Series za Kijasusi na Kigaidi, utakubaliana na mimi kwamba Series ya The Girl From Oslo ni moja ya Series kali sana. Inagusa nyanja ya Kijasusi, kiintelijensia na Kigaidi...
1 Reactions
0 Replies
911 Views
Natafuta Dj alopiga nyimbo Kali za kitambo, iwe Bongo fleva za Kongo au za kibongo za wazee was zamani. Nahitaji kwenye platform ya boomplay au youtube ila ziwe audio. Msaada jamani.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Zamani hip hop ndiyo ilidominate charts maredioni mpaka mitaani...enzi za kina prof j, Afande sele, Ngwea nk. Leo hii amapiano, Bongofleva (copy za kinaijeria) na singeli ndio zinadominate...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Katika post iliyowekwa twitter (X) na msanii ambae pia ni mkurugenzi wa Wasafi media na wasafibet, Diamond Platnumz ameonesha kuwa katikati ya November atatambulisha msanii mpya wa mziki wa kizazi...
0 Reactions
1 Replies
659 Views
Ni aibu kwa msanii mkubwa kama Ally Kiba .... kupata nafasi ya kufanya show ya tukio kubwa kama hili la AFL akashindwa kuandaa wimbo maalum kuhusu tukio .... badala yake anaunga unga na nyimbo...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Ni simulizi inayohusu familia, mapenzi, kazi na safari ya maisha kwa ujumla. Ungana na mimi katika simulizi hii….. SEHEMU YA KWANZA TANZANIA 1995 “Pushhhhhh!!!!!” “Mrs Hernad jitahidi sukuma...
4 Reactions
27 Replies
11K Views
Sehemu ya Kwanza. Ilikuwa ni taarifa mbaya, iliyoshtua ambayo ilianza kwa kusikika katika sehemu mbalimbali jijini Las Vegas nchini Marekani kabla ya kuwafikia polisi. Kila aliyezisikia taarifa...
19 Reactions
253 Replies
48K Views
Back
Top Bottom