Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Gazeti la The Post linaripoti kwamba kamouni ya Paramount imefuta mnada wa kuiuza BET, kwa maelezo kuwa wamesikitishwa na ofa ndogo walizopokea kutoka kwa wazabuni. Bei iliyowekwa na Paramount...
3 Reactions
5 Replies
889 Views
Jamani mwenye wimbo fulani hivi unapigwa Clouds Fm unasema "nitakutumikiaa! nathibitisha kwa juhudi na nia. Kama ilivyo leo nitajaribu tena kesho nitakutumikia". Wimbo huu unanivuta kihisia sana...
4 Reactions
8 Replies
6K Views
MKASA WA KWELI KAZI YA KULINDA MAITI MOCHWARI ILIVYONISHINDA MWANDISHI: ZUBERI MARUMA Whatsupp: 0759427653 i Jina langu naitwa Joseph Matombeko ,mzaliwa wa Nairobi nchini Kenya naishi na...
25 Reactions
324 Replies
81K Views
Jf member, Let's do this for funny,for entertainment just to enjoy ourselves and those we admire,love and like. Tuweke lyrics za nyimbo mbalimbali unazozipenda itakuwa ni vizuri zaidi kama...
8 Reactions
121 Replies
18K Views
Kutoka kwenye kazi mpya za muziki zilizoachiwa mwaka huu zilizoambatana na sauti zilizovuma na video za #challenge mbalimbali ambazo zimevuma, Mwaka 2023 umekuwa mwaka mwingine mzuri kwa muziki wa...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
https://youtu.be/2461HqUizAw?si=HDdWnPB7oW94nwvz
2 Reactions
9 Replies
880 Views
Wimbo wa ‘One Love Groove’ ni wito wa upendo, umoja na mshikamano kati ya watu. Kwa lugha nyepesi, unatuonyesha kuwa tunaweza kuishi kwa amani na kufurahia utamaduni wetu licha ya tofauti zetu...
1 Reactions
2 Replies
660 Views
Nimeamini kila eneo wana vitu vyao vinavyowapa raha na vibe la kufa mtu. Kama nyie Dar mnavibe na akina "Chino wanna man" basi huenda Shinyanga wanavibe na "Ngosha Bhudhagala". Kutana na huyu DJ...
5 Reactions
46 Replies
11K Views
Hello, JamiiForums. So nimejaribu kuunda Remix ya hii nyimbo yangu pendwa kwa 2023, Mshindi yake Appy. Please Enjoy ✌🏾 Maoni pia yanakaribishwa. https://youtu.be/01_m_sADtbA?si=vc0G7z02l3zm32SP
0 Reactions
3 Replies
694 Views
This is the list of my best 10 hip hop lyricists of All time. 1. Nas 2. Kool G Rap 3. Immortal Technique 4. Rakim 5. Ice Cube 6. KRS-1 7. Big Pun 8. Eminem 9. Jay Z 10. Scarface Honourable...
3 Reactions
106 Replies
13K Views
Kadri ziku zinavyokwenda watazamaji wengi wanaipotezea tamthiliya ya HUBA na kuelekea nyingine hasa Jua Kali. Huba wamekosea wapi? Je, hawana uhalisia - tamthiliya nzima hakuna role models...
7 Reactions
115 Replies
10K Views
Recently kumekuwepo na mfumuko wa Diss Tracks nyingi sana kwenye game ya Hip-Hop, but Diss tracks ambazo zimeweza kupata umaarufu mkubwa sana kwasasa ni Diss record ya Drake kwenda kwa Meek Mill...
2 Reactions
49 Replies
7K Views
HAbari ndugu zangu natanguliza pole na majukumu mbalimbali mungu awatie nguvu. Mimi ni daktari(medical doctor) nilietokea uswazi changanyikeni so nayajua matatizo mbalimbali yanayotusibu mtaani...
1 Reactions
4 Replies
510 Views
Jamani wadau wa jukwaa hili naomba mwenye link ya kudownload wimbo wa hard mad ft fatma- tamala anisaidie. Ni wa kitambo kidogo link nazopata naona hazifanyi kazi hivyo mwenye link anisaidie maana...
0 Reactions
50 Replies
21K Views
Wakuu nimekuwa nikifatilia hiki kipindi kinaitwa HAWAVUMI LAKINI WAMO kinarushwa na luninga moja maarufu kwa lengo la kujipima ili namimi siku moja niwe mtajika ktk eneo hili. Kwa wale wenye...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha uzi hapo juu. Natafuta wadau wa kushirikiana nao kuendesha shindano la WATU wenye sura mbaya Tanzania mkoa wa Dar es salaam. Fomu zinapatikana BUREE. Mshindi atapatiwa...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Wakuu nimetafuta humu kwenye entertainment sijabahatika kuona threads za games humu. Hapa nazungumzia michezo ya kwenye simu ,computers, hata board games migumu zaidi (mind games) iliyopo duniani...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Kuna nyimbo kadhaa nikisikiliza naweza nisijue ametamka nini huyo msanii mpaka inaweza chukua hata miezi au zaidi ndo nakuja kuelewa kilichotamkwa, Kwa mfano kuna nyimbo nilikuwa nasikiliza...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Hii ni nyingine tena, Ni Bongo Records tena, P Funk KIITIKIO Ni gheto langu tu, Linalowachengua maduu, Linaloniweka kwenye chati za juu, Kijitonyama mpaka East Zoo, Ni gheto langu tu...
2 Reactions
7 Replies
8K Views
Salaam/Shalom...!
0 Reactions
6 Replies
535 Views
Back
Top Bottom