Habari wakuu
Kwa wale tunaopenda kutumia Netflix tupeane uzoefu katika kuangalia Series na Movies katika App Hii.
Binafsi nimeangalia Series nyingi toka Sekondari kuanzia Prison Break.
Lakini...
Kuna utata bado kwenye ujio wa T.I
Kwa sasa jamaa wanahaha kutafuta wasanii kwa kuokotezaokoteza ambao hawakuwa kwenye list incase hali itakuwa mbaya mpaka dakika za mwisho.
Lakini kitanuka...
Unazikumbuka hizi Learn Back, Make It Rain- Fat Joe, vipi kuhusu the iconic song kutoka westcost Still ya Dr Dre, Just A Lil Bit 50 Cent, Poppin Them Thangs - G unit, Gimme That-Run It za Chris...
Kumbe Magwiji wote waliokuwa Wakiunda Kundi la ( Bendi ya ) Wenge Musica BCBG 4 X 4 wakiongozwa na JB Mpiana, Mpiga Solo Alain Makaba, Mpiga Bass Didier Masela, Ngiama Makanda Werrason, Adolphe...
WASAFI FESTIVAL kwa content package mnayodeliver kuna muda mpaka nahisi Teni halitoshi.. package ni kubwa kwakweli.. sema kwa upande wetu mimi na mwanagu tuna enjoy kinoma kwa sababu uwezo wetu ni...
Wakuu heshima kwenu!
Napenda kushea nanyi simulizi ya maisha yangu . Hii sio hadithi ya kutunga, nimelazimika kutumia majina ya kutunga ili kuleta maana. Pia nimetumia codes nyingi sana hapa ili...
Kwa wale wapenzi wa movie wanaopakua kwa kutumia netnaija tunajionea changamoto ya baadhi ya movie kutokuwepo, kuna website inaitwa fzmovies.net hii ina movies nzuri zenye quality nzuri na mb chache
Hapa kashirikishwa na G-Nako, wimbo unaitwa Komando, ila melody za Diamond zinafanana 90% na wimbo wa Amapiano aloimba Asake.
Sikiliza kisha ufanye conclusion mwenyewe kama Diamond anasingiziwa...
Wadau kwema..wenzang wa miaka ya 2000 mtakua mnakumbuka zaman miaka hyo I'li ipate channel kwa Tv ilikua lazimaa upandishe antenna juu..kiwango cha upandishaj kinategemea uko wap..nakumbuka kwetu...
Guys heri ya Christmas na mwaka mpya,
Wale wapenda hip-hop kama Mimi especially underground hip hop kuna mixtape inaitwa kua uone ilikutanisha rappers underground wale wa Arusha wakina Raff...
Wapambanaji niaje? Kumekuwa na wimbi kubwa la watu wanaocheza hii michezo ya kindege kinachopaaa halafu unakuwa unashinda pesa pale ukiwahi kutoa pesa kabla hakijalipuka.
Nilianza kuijua ZEPPELIN...
Kwa upande wangu kwa mwaka 2023 hizi ndio nimeona ndio ngoma kali kutoka kwa hawa wasanii wakubwa nchini.
Single again ya konde boy ilitoka mwanzoni mwa mwaka huu, na niseme hii ndio ngoma kali...
Poker game!
I do not love you except because I love you;
I go from loving to not loving you,
From waiting to not waiting for you
My heart moves from cold to fire.
I love you only because it's...
Mwenye wimbo wa mwanamke hulka full ulioimbwa na Mwanahawa Ally anitumie.
Binafsi nimeutafuta bila mafanikio, ambao ninao unaishia dakika 13:53.
Ambao anao uliokamilika autume.
Sebene lake...
Habarini za Muda Huu
Nimeona Tangazo la Kutafuta Hawa Bongo Star Search Nikabaki Nashangaa wanatafuta Comedian au Nini?
Yaani Watu wanaoonyeshwa Kwenye Tangazo ni Wachekeshaji na Watu wanashindwa...
Kupitia hapa leo naomba tuangazie bifu 30 Kali zaidi kuwahi kuwakumba wasanii mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya nchini, kiasi cha kugonganisha vichwa vya wadau wa muziki na pengine kwa kiasi...
WIMBO unaitwa Juicy. Mali ya Notorious BIG. Ni release ya kwanza, albamu ya kwanza, Ready to Die.
Intro; Biggie anasema:
"Albamu hii ni salamu kwa walimu wote waliosema sitofanikiwa.
Ni kwa wote...
Unaanzia since primary hadi chuoni mpaka nimepata ajira ya TAMISEMI nikiwa Kama Tabibu Daraja la II. Kwa ufupi nimemaliza chuo mwaka jana 2022 December, ila mwaka huu nimepata ajira.
Vijana kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.