Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Habari wakuu Kwa wale tunaopenda kutumia Netflix tupeane uzoefu katika kuangalia Series na Movies katika App Hii. Binafsi nimeangalia Series nyingi toka Sekondari kuanzia Prison Break. Lakini...
1 Reactions
2 Replies
953 Views
Kuna utata bado kwenye ujio wa T.I Kwa sasa jamaa wanahaha kutafuta wasanii kwa kuokotezaokoteza ambao hawakuwa kwenye list incase hali itakuwa mbaya mpaka dakika za mwisho. Lakini kitanuka...
2 Reactions
2K Replies
173K Views
Unazikumbuka hizi Learn Back, Make It Rain- Fat Joe, vipi kuhusu the iconic song kutoka westcost Still ya Dr Dre, Just A Lil Bit 50 Cent, Poppin Them Thangs - G unit, Gimme That-Run It za Chris...
6 Reactions
21 Replies
4K Views
Kumbe Magwiji wote waliokuwa Wakiunda Kundi la ( Bendi ya ) Wenge Musica BCBG 4 X 4 wakiongozwa na JB Mpiana, Mpiga Solo Alain Makaba, Mpiga Bass Didier Masela, Ngiama Makanda Werrason, Adolphe...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
WASAFI FESTIVAL kwa content package mnayodeliver kuna muda mpaka nahisi Teni halitoshi.. package ni kubwa kwakweli.. sema kwa upande wetu mimi na mwanagu tuna enjoy kinoma kwa sababu uwezo wetu ni...
1 Reactions
6 Replies
710 Views
Wakuu heshima kwenu! Napenda kushea nanyi simulizi ya maisha yangu . Hii sio hadithi ya kutunga, nimelazimika kutumia majina ya kutunga ili kuleta maana. Pia nimetumia codes nyingi sana hapa ili...
45 Reactions
604 Replies
53K Views
Kwa wale wapenzi wa movie wanaopakua kwa kutumia netnaija tunajionea changamoto ya baadhi ya movie kutokuwepo, kuna website inaitwa fzmovies.net hii ina movies nzuri zenye quality nzuri na mb chache
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Kura yangu naitupa kwa mpiga kinanda kumaster hiyo.keyboard kwa nyimbo tofauti tofauti siyo kazi rahisi...Dj siyo kiviile.
0 Reactions
1 Replies
610 Views
Hapa kashirikishwa na G-Nako, wimbo unaitwa Komando, ila melody za Diamond zinafanana 90% na wimbo wa Amapiano aloimba Asake. Sikiliza kisha ufanye conclusion mwenyewe kama Diamond anasingiziwa...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Wadau kwema..wenzang wa miaka ya 2000 mtakua mnakumbuka zaman miaka hyo I'li ipate channel kwa Tv ilikua lazimaa upandishe antenna juu..kiwango cha upandishaj kinategemea uko wap..nakumbuka kwetu...
4 Reactions
5 Replies
698 Views
Guys heri ya Christmas na mwaka mpya, Wale wapenda hip-hop kama Mimi especially underground hip hop kuna mixtape inaitwa kua uone ilikutanisha rappers underground wale wa Arusha wakina Raff...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wapambanaji niaje? Kumekuwa na wimbi kubwa la watu wanaocheza hii michezo ya kindege kinachopaaa halafu unakuwa unashinda pesa pale ukiwahi kutoa pesa kabla hakijalipuka. Nilianza kuijua ZEPPELIN...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa upande wangu kwa mwaka 2023 hizi ndio nimeona ndio ngoma kali kutoka kwa hawa wasanii wakubwa nchini. Single again ya konde boy ilitoka mwanzoni mwa mwaka huu, na niseme hii ndio ngoma kali...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Poker game! I do not love you except because I love you; I go from loving to not loving you, From waiting to not waiting for you My heart moves from cold to fire. I love you only because it's...
2 Reactions
1 Replies
631 Views
Poleni na kazi nahitaji msaada kwa mwenye copy ya riwaya hii ya Mkimbizi. Natanguliza shukrani za dhati kwenu.
0 Reactions
50 Replies
6K Views
Mwenye wimbo wa mwanamke hulka full ulioimbwa na Mwanahawa Ally anitumie. Binafsi nimeutafuta bila mafanikio, ambao ninao unaishia dakika 13:53. Ambao anao uliokamilika autume. Sebene lake...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Habarini za Muda Huu Nimeona Tangazo la Kutafuta Hawa Bongo Star Search Nikabaki Nashangaa wanatafuta Comedian au Nini? Yaani Watu wanaoonyeshwa Kwenye Tangazo ni Wachekeshaji na Watu wanashindwa...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Kupitia hapa leo naomba tuangazie bifu 30 Kali zaidi kuwahi kuwakumba wasanii mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya nchini, kiasi cha kugonganisha vichwa vya wadau wa muziki na pengine kwa kiasi...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
WIMBO unaitwa Juicy. Mali ya Notorious BIG. Ni release ya kwanza, albamu ya kwanza, Ready to Die. Intro; Biggie anasema: "Albamu hii ni salamu kwa walimu wote waliosema sitofanikiwa. Ni kwa wote...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Unaanzia since primary hadi chuoni mpaka nimepata ajira ya TAMISEMI nikiwa Kama Tabibu Daraja la II. Kwa ufupi nimemaliza chuo mwaka jana 2022 December, ila mwaka huu nimepata ajira. Vijana kuna...
5 Reactions
39 Replies
3K Views
Back
Top Bottom