LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,736
Kuna nyimbo kadhaa nikisikiliza naweza nisijue ametamka nini huyo msanii mpaka inaweza chukua hata miezi au zaidi ndo nakuja kuelewa kilichotamkwa,
Kwa mfano kuna nyimbo nilikuwa nasikiliza nilichokisikia ni hichi,
Afrooo afrooo mtoto wa Msagenda, ilinichukua miaka kujakujua kumbe ni mtoto wa Msagana,
Na mstari mwingine ni omiyetu, imenichukua miaka sijui 7 ndo nimekuja kujua kuwa ni me ad you
Na mstari mwingine ni, rafiki gani huyu mdananda, imenichukua miaka 10 kulisikia hilo neno kwenye wimbo,
Na ule wimbo wa mshipi wa rc ndo sijui huwa wanaimbaje maana nyimbo za rc napenda kusikiliza lakini kuielewa mistari ndo inakuwa kazi,
Na mstari mwingine ni, chunga tamaa mayona chunga tamaa mayona, kumbe ilikuwa ni chunga tamaa mbayaa chunga tamaa mbayaaa
Kuna siku nikiwa nafanya kazi sehemu bosi wangu alinipigia simu na kuniambia nioshe gari yupo karibu anakuja, mimi nikawasha na alipofika akalikuta lipo selensa, alinishangaa sana,
Kuna matukio mengi sana ya kufanya vitu tofauti na nilivoambiwa lakini inakuwa ndivyo nilivyosikia
Hii hali sikumbuki ilianza lini ila kuna vitu nahisi viliongezea shida,
Kitu cha kwanza ni uvuvi wa kuzamia, yaani unaenda kina bila kitu chochote na baadae unahisi kama masikio yanataka kupasuka kwa mgandamizo wa maji, yanalia tfuuuu
Kitu cha pili niliwahi fanya kazi kwenye mashine ambayo ikiwa inafanya kazi hata mkiwa karibu hamsikilizani, na mkiizima hiyo mashine masikio hupiga kelele kama ya miluzi ya kuchoma masikio,
Swali langu hasa kuhusu nyimbo je ni mm tu ndo husikia tofauti na kilichoimbwa?
Kwa mfano kuna nyimbo nilikuwa nasikiliza nilichokisikia ni hichi,
Afrooo afrooo mtoto wa Msagenda, ilinichukua miaka kujakujua kumbe ni mtoto wa Msagana,
Na mstari mwingine ni omiyetu, imenichukua miaka sijui 7 ndo nimekuja kujua kuwa ni me ad you
Na mstari mwingine ni, rafiki gani huyu mdananda, imenichukua miaka 10 kulisikia hilo neno kwenye wimbo,
Na ule wimbo wa mshipi wa rc ndo sijui huwa wanaimbaje maana nyimbo za rc napenda kusikiliza lakini kuielewa mistari ndo inakuwa kazi,
Na mstari mwingine ni, chunga tamaa mayona chunga tamaa mayona, kumbe ilikuwa ni chunga tamaa mbayaa chunga tamaa mbayaaa
Kuna siku nikiwa nafanya kazi sehemu bosi wangu alinipigia simu na kuniambia nioshe gari yupo karibu anakuja, mimi nikawasha na alipofika akalikuta lipo selensa, alinishangaa sana,
Kuna matukio mengi sana ya kufanya vitu tofauti na nilivoambiwa lakini inakuwa ndivyo nilivyosikia
Hii hali sikumbuki ilianza lini ila kuna vitu nahisi viliongezea shida,
Kitu cha kwanza ni uvuvi wa kuzamia, yaani unaenda kina bila kitu chochote na baadae unahisi kama masikio yanataka kupasuka kwa mgandamizo wa maji, yanalia tfuuuu
Kitu cha pili niliwahi fanya kazi kwenye mashine ambayo ikiwa inafanya kazi hata mkiwa karibu hamsikilizani, na mkiizima hiyo mashine masikio hupiga kelele kama ya miluzi ya kuchoma masikio,
Swali langu hasa kuhusu nyimbo je ni mm tu ndo husikia tofauti na kilichoimbwa?