Natafuta wadau wa kuendesha shindano la watu wenye sura mbaya kwa jiji la Dar es Salaam

Jun 20, 2021
52
101
Husika na kichwa cha uzi hapo juu.

Natafuta wadau wa kushirikiana nao kuendesha shindano la WATU wenye sura mbaya Tanzania mkoa wa Dar es salaam. Fomu zinapatikana BUREE. Mshindi atapatiwa zawadi, milioni 10 (mfano)

Wadhamini njoeni. Faida za shindano:

1. Tunatambua na kuthamini uwepo wao hivyo waache kujificha na kutojikubali.
2. Wao ni icon muhimu kutokana na upekee wao, tunakuza brand zao.
3. Kukuza Ari ya kujiamini kwa kila mtanzania kutokana na vile alivyo.

Wadau karibuni tufanye kazi
 
Husika na kichwa cha uzi hapo juu.

Natafuta wadau wa kushirikiana nao kuendesha shindano la WATU wenye sura mbaya Tanzania mkoa wa Dar es salaam. Fomu zinapatikana BUREE. Mshindi atapatiwa zawadi, milioni 10 (mfano)

Wadhamini njoeni. Faida za shindano:

1. Tunatambua na kuthamini uwepo wao hivyo waache kujificha na kutojikubali.
2. Wao ni icon muhimu kutokana na upekee wao, tunakuza brand zao.
3. Kukuza Ari ya kujiamini kwa kila mtanzania kutokana na vile alivyo.

Wadau karibuni tufanye kazi
Anza na sura Yako!Hakuna sura mbaya,maokoto tuu!
 
Husika na kichwa cha uzi hapo juu.

Natafuta wadau wa kushirikiana nao kuendesha shindano la WATU wenye sura mbaya Tanzania mkoa wa Dar es salaam. Fomu zinapatikana BUREE. Mshindi atapatiwa zawadi, milioni 10 (mfano)

Wadhamini njoeni. Faida za shindano:

1. Tunatambua na kuthamini uwepo wao hivyo waache kujificha na kutojikubali.
2. Wao ni icon muhimu kutokana na upekee wao, tunakuza brand zao.
3. Kukuza Ari ya kujiamini kwa kila mtanzania kutokana na vile alivyo.

Wadau karibuni tufanye kazi
Nasikia eti sura mbaya zilikuwepo zamani tu ila siku hizi wanazingatia maokoto
 
Tatizo dunia ya sasa imejaa wanaharakati hivyo tegemea upinzani mkali

Halafu ni kampuni gani itafadhili mashindano ya wenye "sura mbaya",maana hapo ni sawa na kuunga mkono negative stereotypes zinazotenga baadhi ya makundi ya watu

hata hivyo fanya tu mkuu maana wewe ndiye mwenye vision na huenda ikafanikiwa
 
Tatizo dunia ya sasa imejaa wanaharakati hivyo tegemea upinzani mkali

Halafu ni kampuni gani itafadhili mashindano ya wenye "sura mbaya",maana hapo ni sawa na kuunga mkono negative stereotypes zinazotenga baadhi ya makundi ya watu

hata hivyo fanya tu mkuu maana wewe ndiye mwenye vision na huenda ikafanikiwa
Ya ugly face ni vituko ulimwenguni!
 
Hakuna mwanadamu mwenye sura mbaya

Sura mbaya ni tafsiri yako...
na huyu ni nani
Mtu mwenye sura mbaya duniani na anatambua hilo na anajivunia hali yake na ameingia kwenye kitabu cha Guinnes
Anapata hela nyingi kutokana na hali yake.Ana mke mzuri sana na watoto nane?
 

Attachments

  • baguma.PNG
    baguma.PNG
    137.1 KB · Views: 5
Husika na kichwa cha uzi hapo juu.

Natafuta wadau wa kushirikiana nao kuendesha shindano la WATU wenye sura mbaya Tanzania mkoa wa Dar es salaam. Fomu zinapatikana BUREE. Mshindi atapatiwa zawadi, milioni 10 (mfano)

Wadhamini njoeni. Faida za shindano:

1. Tunatambua na kuthamini uwepo wao hivyo waache kujificha na kutojikubali.
2. Wao ni icon muhimu kutokana na upekee wao, tunakuza brand zao.
3. Kukuza Ari ya kujiamini kwa kila mtanzania kutokana na vile alivyo.

Wadau karibuni tufanye kazi
Hili shindano limenikumbusha miaka ya 90s kuna jamaa alishinda, akaja mshindani wake Remmy Ongara akakata rufaa akasema mshindi alikuwa mgonjwa wa ukoma
 
Kama kuna mtu ameumba sura yake binafsi basi huyo pekee ndie anaepaswa kuweka shindano la sura mbaya ili amithilishe na kila alichokiumba.

Ikiwa wote tumezaliwa na sura ambazo hatujazichagua, basi hakuna mwenye haki ya kusema sura ya mwingine ni mbaya.
 
Husika na kichwa cha uzi hapo juu.

Natafuta wadau wa kushirikiana nao kuendesha shindano la WATU wenye sura mbaya Tanzania mkoa wa Dar es salaam. Fomu zinapatikana BUREE. Mshindi atapatiwa zawadi, milioni 10 (mfano)

Wadhamini njoeni. Faida za shindano:

1. Tunatambua na kuthamini uwepo wao hivyo waache kujificha na kutojikubali.
2. Wao ni icon muhimu kutokana na upekee wao, tunakuza brand zao.
3. Kukuza Ari ya kujiamini kwa kila mtanzania kutokana na vile alivyo.

Wadau karibuni tufanye kazi
Tuma picha ya mtu mbaya atae mzidi Remmy ongala
 
Ya ugly face ni vituko ulimwenguni!
uwe mrefu, mfupi, handsome, mweusi, mweupe. Vyote ni vitu hukutumia efforts zako kuvipata ila umejikuta navyo tu kwa kuzaliwa navyo hivyo, si sawa kumcheka au kumdhihaki mtu ambaye hakuzaliwa navyo na mbaya zaidi hawezi kuvibadilisha
 
Kwakuwa mshindi atapata zawadi basi tutashiriki wengi sana. Huo ushindi ni wangu kama hapatokuwa na upendeleo.
 
uwe mrefu, mfupi, handsome, mweusi, mweupe. Vyote ni vitu hukutumia efforts zako kuvipata ila umejikuta navyo tu kwa kuzaliwa navyo hivyo, si sawa kumcheka au kumdhihaki mtu ambaye hakuzaliwa navyo na mbaya zaidi hawezi kuvibadilisha
Una kitu chief tuomba waeleze kinaga ubaga
 
Husika na kichwa cha uzi hapo juu.

Natafuta wadau wa kushirikiana nao kuendesha shindano la WATU wenye sura mbaya Tanzania mkoa wa Dar es salaam. Fomu zinapatikana BUREE. Mshindi atapatiwa zawadi, milioni 10 (mfano)

Wadhamini njoeni. Faida za shindano:

1. Tunatambua na kuthamini uwepo wao hivyo waache kujificha na kutojikubali.
2. Wao ni icon muhimu kutokana na upekee wao, tunakuza brand zao.
3. Kukuza Ari ya kujiamini kwa kila mtanzania kutokana na vile alivyo.

Wadau karibuni tufanye kazi


Ushaathiriwa na Motivational speaker
 
Back
Top Bottom