Utabiri: Yanga 4-1 Al ahly

Utabiri: Yanga 4-1 Al ahly

CARDLESS

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2017
Posts
7,867
Reaction score
16,009
Habari zenu wadau wa michezo hapa jamvini.

Kama kawaida ni wiki ya kushuhudia CAF CHAMPIONS LEAGUE game za pili kwa makundi na timu zote.

Kutokana na hali hiyo, kuna game 1 tu kati ya game zote 8 za raundi hii ambayo ndio Clasic, kubwa, yenye ushawishi na yenye kuvuta hisia za watu wa soko Afrika nzima. Nayo si nyingine ni ila YANGA vs AL AHLY.

Hii game itapigwa majira ya Saa 1 Usiku kwa saa za Afrika mashariki, lakini kwa kusini mwa Afrika hiyo game itaonekana majira ya Saa 12 jioni.

Sasa, mara baada ya kungalia vikosi vyote, aina ya uchezaji, fomu za timu, uwanja na umuhimu wa mchezo nimekuja na utabiri huu ambao kwa uhakika ni 98% uko sure.

Ni mechi ngumu mno hasa kwa AL AHLY, akijua wazi baada ya game hii atalazimika kwenda Algeria kukipiga na CR BELOUIZDAD na kurudiana nae pale CAIRO.

Kwa haraka kidogo, YANGA hadi sasa hawana majeruhi yeyote mwenye kuathiri mchezo, hivyo kikosi cha Yanga kitakuwa kama kila kilichoishushia mzigo wa Mwizi SIMBA.

Kwa kuangalia Beki za AL AHLY, always wao hawakai nyuma, 60 za mchezo wao huwa juu zaidi tofauti na YANGA ambao wao huwa nusu kwa nusu.

Kwa kuangalia vikosi hivyo na aina ya uchezaji, naona YANGA wakipata magoli 4 na AL AHLY wakipata goli 1.

Magoli 2 ya YANGA yatafungwa kipindi cha Kwanza na 2 mengine kipindi cha Pili.

Mchezo huu mkali utaamuliwa zaidi na Aziz Ki, huku nikimpa nafasi ya kufunga magoli 2 au kutoa Assit 3 siku hiyo.

Nawasilisha.
 
غتوية مسحم ونب دطب ءاغعتية ينرك سر ةؤوو ز ثثثببب bin futuhi.......
 
Mahaba yakipitiliza haya ndio matokeo yake. Kweli huko wenye akili ni JK na Baba Msukule yaaani Ahy apigwe 4 na striking force ya Msize??? Kuweni na heshima pimbi nyie
 
yanga 4 yellow cards au faulo?
 
Uto punguzeni mapenzi kupitiliza unaambiwa usiweke ahadi ukiwa na furaha sana au kufanya maamuzi ukiwa na hasira kali Al Ahly hata wakiweka kikosi C hakiwezi kupigwa goli 4 na Yanga.
 
Uto punguzeni mapenzi kupitiliza unaambiwa usiweke ahadi ukiwa na furaha sana au kufanya maamuzi ukiwa na hasira kali Al Ahly hata wakiweka kikosi C hakiwezi kupigwa goli 4 na Yanga.
Una amini Al Ahly ni timu isiyofungika sio?
 
Kumbe Siku hizi hapa JamiiForums habari za Michezo zinaletwa / zinaandikwa katika Jukwaa la Entertainment kama hili?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mi nimechagua ENTERTAINMENT & SPORTS na sio SPORTS & ENTERTAINMENT
 
Yanga atamfunga Al ahly,
Simba ata Draw na Jwaneng,
Tp mazembe atamfunga Mamelod,
Pyramids Ata Draw na Nouadhibou,
Wydad atamfunga Mimosas,

Screenshot hii ili badae baad ya mechi zote kuisha usije kusema Ilieditiwa.
 
Yanga atamfunga Al ahly,
Simba ata Draw na Jwaneng,
Tp mazembe atamfunga Mamelod,
Pyramids Ata Draw na Nouadhibou,
Wydad atamfunga Mimosas,

Screenshot hii ili badae baad ya mechi zote kuisha usije kusema Ilieditiwa.
Wewe jamaa Una mitego, Kwa hiyo wazee wakubeti wapite na mkeka au tusuhr Kwanza to mazembe amfunge mamelod[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Habari zenu wadau wa michezo hapa jamvini.

Kama kawaida ni wiki ya kushuhudia CAF CHAMPIONS LEAGUE game za pili kwa makundi na timu zote.

Kutokana na hali hiyo, kuna game 1 tu kati ya game zote 8 za raundi hii ambayo ndio Clasic, kubwa, yenye ushawishi na yenye kuvuta hisia za watu wa soko Afrika nzima. Nayo si nyingine ni ila YANGA vs AL AHLY.

Hii game itapigwa majira ya Saa 1 Usiku kwa saa za Afrika mashariki, lakini kwa kusini mwa Afrika hiyo game itaonekana majira ya Saa 12 jioni.

Sasa, mara baada ya kungalia vikosi vyote, aina ya uchezaji, fomu za timu, uwanja na umuhimu wa mchezo nimekuja na utabiri huu ambao kwa uhakika ni 98% uko sure.

Ni mechi ngumu mno hasa kwa AL AHLY, akijua wazi baada ya game hii atalazimika kwenda Algeria kukipiga na CR BELOUIZDAD na kurudiana nae pale CAIRO.

Kwa haraka kidogo, YANGA hadi sasa hawana majeruhi yeyote mwenye kuathiri mchezo, hivyo kikosi cha Yanga kitakuwa kama kila kilichoishushia mzigo wa Mwizi SIMBA.

Kwa kuangalia Beki za AL AHLY, always wao hawakai nyuma, 60 za mchezo wao huwa juu zaidi tofauti na YANGA ambao wao huwa nusu kwa nusu.

Kwa kuangalia vikosi hivyo na aina ya uchezaji, naona YANGA wakipata magoli 4 na AL AHLY wakipata goli 1.

Magoli 2 ya YANGA yatafungwa kipindi cha Kwanza na 2 mengine kipindi cha Pili.

Mchezo huu mkali utaamuliwa zaidi na Aziz Ki, huku nikimpa nafasi ya kufunga magoli 2 au kutoa Assit 3 siku hiyo.

Nawasilisha.
Aamin....

Sent from my SM-S908E using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom